Mpinzani wa Trump, Joe Biden asema Wamarekani Milioni 120 Corona imewaua

Mpinzani wa Trump, Joe Biden asema Wamarekani Milioni 120 Corona imewaua

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264


Ni dhahiri kabisa mzee huyu hatamweza Trump, yupo serikalini kwa zaidi ya miaka 50 lakini hana idea kabisa na current events, sio mara ya kwanza na ni wazi kabisa ana ugonjwa wa kumbukumbu ikiambatana na kuwa na hasira za karibu.

hata hivyo vyombo vinavyoongoza kwa kumtungia trump habari mbaya kama cnn, msnbc, n.k hawajaripoti tukio hili

kiufupi jina lake kwa kirefu lina maana ya best idiot democrats ever nominated 😀😀

Kwa hali hii trump atashinda kwa kishindo kikubwa sana, Pia nawakumbusha tu ile rally ya Trump iliyopata wahudhuriaji wachache elf 6 ilikiwa kwasababu ya vurugu zinazochochewa na democrats ili kuhalalisha anarchy mitaani, hiki kitu kilipelekea watu wabaki majumbani mwao wacheki rally ya trump kwa Tv kitu kilochofanya rally ya trump ivunje rekodi ya watazamaji wengi zaidi (zaidi ya milioni 7) kwenye kituo kinachoongoza kutazamwa marekani FOX NEWS
 
Huyu Biden sasa umri umekwisha anza kumtupa mkono.

Sijui kama ataweza kupambana na 'kijana mdogo' DT hapo Novemba. Tusubiri tuone kitakachojiri!
 
Biden ni kimeo. Hakuna mmarekani mwenye akili timamu anaweza kumchagua Biden.

Yeye anategemea corona imbebe. Yaani hana hoja zaidi ya kuruka ruka na habari za corona huku akiomba corona uendelee kuua wamarekani ili aitumie kama ngazi kupata urais.

Corona ikikata sasa hivi Marekani Biden atakua na hoja gani zaidi?
 
He need to rest, even himself knows that. He`s sick.
 
Huyu Biden sasa umri umekwisha anza kumtupa mkono.

Sijui kama ataweza kupambana na 'kijana mdogo' DT hapo Novemba. Tusubiri tuone kitakachojiri!
Sio Biden tu ila hata wale wanachama waliogeuka kuwa kioo cha democrats watashangazwa, kina Ilhan Omar anaetaka kufanya jimbo liwe kama Mogadishi, Cortez aliekuwa bamedi ambae hadi sasa inadhaniwa degree aliipata kwa chupi baada ya kusababisha ukosefu wa ajira elf 40 kwa kukataa kampuni ya amazon isiweke ofisi New York
 
CNN na wengine hawajaona hili swala
wanamilikiwa na democrats hao, hawawezi kuripoti hii ishu, huko marekani watazamaji wengi wa habari wanatizama fox news kuliko cnn au msnbc zilizogeuka media za kukosoa kila kitu anachofanya trump raisi aliechaguliwa na wamarekani.
 
CNN hawajaona,kha.
Wakiona basi ndio ukweli wa dunia unaonekana,duniani ina vijimambo sana,ila utamu wa siasa siyo sera ni maneno ambayo hayakupangiliwa
 
They don't care, they'll vote against Trump.
They'd definitely vote for "coconut" if the dems were to have it as a nominee.
Biden over Trump, sure?

Let's see:
As of April 2020,

Solid democrats stands at 31% of Americans

Solid republicans are at 30% of Americans

Independent (no party) are at 36%

Dems alone cannot elect their President, you see?


Election deciders are always independents

No solid Dem or Repub would vote outside their parties.

The battle is to convince those 36% independents.

Republicans leads in voter turn out during elections, despite of the numbers they win.

Those you hear screaming in media are solid Dems and left-agenda pushers.

Just because Trump is worse, you can't have Biden as an alternative. USA would collapse at once, why? Self explanatory.

Yes Trump sucks in some decisions he take, not all. He's done so many good policies. But he is not that worse like Biden.
 
Biden over Trump, sure?

Let's see:
As of April 2020,

Solid democrats stands at 31% of Americans

Solid republicans are at 30% of Americans

Independent (no party) are at 36%

Dems alone cannot elect their President, you see?


Election deciders are always independents

No solid Dem or Repub would vote outside their parties.

The battle is to convince those 36% independents.

Republicans leads in voter turn out during elections, despite of the numbers they win.

Those you hear screaming in media are solid Dems and left-agenda pushers.

Just because Trump is worse, you can't have Biden as an alternative. USA would collapse at once, why? Self explanatory.

Yes Trump sucks in some decisions he take, not all. He's done so many good policies. But he is not that worse like Biden.
You just put it right.
 
Biden over Trump, sure?

Let's see:
As of April 2020,

Solid democrats stands at 31% of Americans

Solid republicans are at 30% of Americans

Independent (no party) are at 36%

Dems alone cannot elect their President, you see?


Election deciders are always independents

No solid Dem or Repub would vote outside their parties.

The battle is to convince those 36% independents.

Republicans leads in voter turn out during elections, despite of the numbers they win.

Those you hear screaming in media are solid Dems and left-agenda pushers.

Just because Trump is worse, you can't have Biden as an alternative. USA would collapse at once, why? Self explanatory.

Yes Trump sucks in some decisions he take, not all. He's done so many good policies. But he is not that worse like Biden.
I wholeheartedly support what you've written. But still anything can happen in US politics. So I won't be shocked if Trump loses and I wouldn't be surprised at all if he wins.
 
Biden over Trump, sure?

Let's see:
As of April 2020,

Solid democrats stands at 31% of Americans

Solid republicans are at 30% of Americans

Independent (no party) are at 36%

Dems alone cannot elect their President, you see?


Election deciders are always independents

No solid Dem or Repub would vote outside their parties.

The battle is to convince those 36% independents.

Republicans leads in voter turn out during elections, despite of the numbers they win.

Those you hear screaming in media are solid Dems and left-agenda pushers.

Just because Trump is worse, you can't have Biden as an alternative. USA would collapse at once, why? Self explanatory.

Yes Trump sucks in some decisions he take, not all. He's done so many good policies. But he is not that worse like Biden.
😁😁😁

Hizo polls zinafanyikaga sebuleni kwa clinton wala sio kwa kila mmarekani.

Polls za 2016 kama hizo ulizoweka hazikumstopisha trump😀😀
 
Milioni 120 ni sawa na kusema zaidi ya ⅓ ya wamarekani wote wamekufa
Yaani in sawa na kusema states zaidi ya 15 wafe watu wote kabisa asibakie hata mtoto anayenyonya
 
Back
Top Bottom