Mpira halisi wa Simba SC ni pasi nyingi siyo counter attacks

Mpira halisi wa Simba SC ni pasi nyingi siyo counter attacks

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Wanasimba pamoja na kuipongeza timu Kwa ushindi mnono.

Msisahau kumshauri mgunda kuhusu mpira halisi wa Simba.

Miaka 3 nyuma Simba ilisifika Kwa pira Biriani pira udambwi udambwi. Pira pass Mia. Zinapigwa pasi Hadi watu wanafika golini mashabiki wameshashangilia Hadi basi ndo akina Chama hao enzi zao.

Huu mfumo wa sasa pasi 3 goli ni mfumo ambao unachosha sana wachezaji maana wanatumia nguvu nyingi maana ni mpira wa kasi mno.

Timu zote, zinazofanya vizuri udambwiudambwi lazima uwepo. Check city na arsenal mpaka watu wanafika golini shuguli imetendeka. Hapa katikati mpira wa hesabu nyingi.

Huu mfumo wa ounter ukikutana na wajanja wanaojua kublock mipira mirefu Simba itakuwa na wakati mgumu sana tofauti na wangetumia pass fupi fupi.

Simba SC jitahidini kurudia mfumo wenu ili hata wale wachezaji wazuri wasiokuwa na speed muweze kuwa accomodate maana mfumo wa sasa nchezaji asiyekuwa na speed Hana sifa.
 
kila kocha na mfumo wake na mfumo unakamilika kutokana na mbinu za coach pamoja na wachezaji chaguo la kocha.

lakini kuna muda mifumo ya uchezaji ina fail kutokana na ukosefu wa wachezaji anaowahitaji kocha . je munataka mgunda awape amri vijana wapige pasi je ao wachezaj wapiga pasi wapo.

simba kupiga pasi au counter attack. sio jambo la muhimu sana cha muhimu ni matokeo ya uwanjani.
 
Huyu ndio yule mchambuzi anayechambua bila kutazama mechi
Natazama vizuri sana, mpira unatoka kwa Manula - Inonga - Mzamiru- Chama- Okrah anafunga.

au Zimbwe - Yassin - Okrah - Sakho anafunga haya ndo magoli mengi ya simba kwa sasa kutoka beki kwenda lango la mpinzanii ni swala la sekunde tu.

Tofauti na zamani wangekuwa wanacheza hivi neno pira birian lisingekuwepo.
 
Hiyo simba ya pira biriani ndio ilikuwa inapigwa hamsa Caf champions league na waarabu mpira wa sasa ule ndio wa champions league.

Ukiweza soma hii article itakusaidia kujua mbinu ya soka la kisasa sio kama Guardiola kila mechi anafunguka tu.


IMG-20221029-WA0002.jpg
 
Kila timu Ina utamaduni wake, capelo pamoja na kunipa ubingwa Madrid lakini walimfukuza sababu walikuwa wakicheza mpira usioeleweka.

Simba Bado tunahitaji biriyani wenye mpira wa riadha wanaeleweka
 
Back
Top Bottom