Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,255
- 1,565
Mpira umekuwa Biashara kubwa sana Duniani, ukitoa biashara ya mafuta, gas, Madini na silaha, mpira ni moja ya Biashara kubwa, ni hatari kukabidhi timu wahuni, wasio jua thamani ya dhamana walizopewa.
Kwenye tatizo linalohusian na uvanjaji wa kanuni, taratibu na sheria, hata kama umeonewa hutakiwi kupambana kwa mabavu, Kuna vyombo vipo vya kusimamia taratibu, kanuni na Sheria kuhakikisha haki yako unapata.
Uongozi ni zaidi ya kuwa na akili tu, uongozi unahitaji busara, hekima, unyenyekevu.
Kwa namna hii tutegemee mengi yanakuja.
Mwisho, ni hekima sasa Serikali kutengeneza utaratibu wa kufanya special audit kwa vilabu vya Tanzania.
# Mungu ibariki Tanzania
#Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, SSH
#Tujiandae kuhesabiwa...Sensa law Maendeleo ya Taifa
Kwenye tatizo linalohusian na uvanjaji wa kanuni, taratibu na sheria, hata kama umeonewa hutakiwi kupambana kwa mabavu, Kuna vyombo vipo vya kusimamia taratibu, kanuni na Sheria kuhakikisha haki yako unapata.
Uongozi ni zaidi ya kuwa na akili tu, uongozi unahitaji busara, hekima, unyenyekevu.
Kwa namna hii tutegemee mengi yanakuja.
Mwisho, ni hekima sasa Serikali kutengeneza utaratibu wa kufanya special audit kwa vilabu vya Tanzania.
# Mungu ibariki Tanzania
#Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, SSH
#Tujiandae kuhesabiwa...Sensa law Maendeleo ya Taifa