Mpira ni strategy and plan ila Pablo hana

Penye moshi kuna moto siyo bure kuna jambo lipo simba tusubiri kwani vyungu vimeanza kutokota muda si mrefu vitapakuliwa
 
Hata nyie mlikaa almost miaka mitano bila ubingwa....it was Yanga vs Azam.
Kipindi hicho hata mchezaj wa ndani mlishindwa kusajili, wenzenu Yanga hata tufulie vipi bado tunafanya usajili wa wachezaji kutoka nje.
 
Nilichogundua uwanja wa sokoine ulikuwa mbovu kweli.
Vinginevyo mbeya city angemfunga simba goli hata nne.
 
[emoji94].... Djigui Diara aliondoka akiacha Simba ina point 24

Anarudi anakuta Simba ina point 25

Anajiuliza Ligi ilisimama au???!![emoji848][emoji848][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…