Simba wala haiteseki ,ni ishu ya matokeo tu,yanga mlikuwa maskini na miaka 4 bila ubingwa kwasababu hata kusajili mlikuwa mnatembeza bakuli ,ogopa kuwa maskini , Simba inakosa matokeo ikiwa na hela siyo ikiwa maskini . Kuna tofauti kubwa sana
Sent using
Jamii Forums mobile app