Mpira sio mchezo wa kiungwana. Nimeacha rasmi kushabikia timu yoyote kutoka Ulaya!

jumatano kesho kutwa shekhe.anza kuandaa hayo matukio now
 
[emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Msijitoe ufahamu, aliyeanza mshika mwenzake mkono ni Salah, angalieni video, hata alipokua anadondoka aliyekua katangulia ni Ramos ila ndo bahati mbaya mkono ikawa hivo.
 

Attachments

  • IMG-20180528-WA0011.jpg
    57.9 KB · Views: 22
Naweka kambi
 
Wazungu weusi wamefurahia kitendo alichokifanya Ramos kwa salah..
 
Kuumia uwanjani ni jambo la kawaida, hata macho yatoke au miguu yote ivunjike au hata vitu muhimu mwilini ving'ote. Hiyo yote ni mpira wa miguu. Tatizo hapa inakuwa mchezaji anaumiaje? anachezewaje rafu? kwa nia gani? na kwa faida ya nani?
 
Salah alianza kung'ang'ani Ramos, hafu bega aliloumia siyo lile ambalo mkono ulikuwa upande wa Ramos
 
Mmh sijui watu wanawezaje kuacha kuishabikia timu.. Mimi siwezi jamani. A true fan finds a way to support his team, no matter what happens.
 
Mnapoangalia mpira na matokeo yenu mifukoni madhara yake ni kupata msongo wa mawazo.
Kuna mechi wachezaji wengine wameacha miguu uwanjani au wametoka uwanjani wakiwa hawana fahamu kabisa. Ukitaka fair ya kutoumia nenda kacheze karata.


Kama kubet vila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…