Mpira umerudi kwa kipa and the queen is back!

Mpira umerudi kwa kipa and the queen is back!

Hahahaha
Kwani wale si mlisha malizana? Sidhani kama yafaa uwe unachukulia kilakitu siraz its just jf. Just move on tuu. We karibu jiachie
You are who you are.
Nimefurahi umerudi.
Lol was just jokin ....im already mov on sinc dat day my dear.....thnk u kwa kufurahi piaa
 
Wape wape wape wape mambembe da queeen we missed you a lot sweetheart
 
Yaaan ww hayaaa bwanaaa miss u too

Ilaa jaman kapeace she is so real yaaan hanaga blah blah i miss u too mumy your one in a million nakupenda u just knw dat......♥️♥️♥️
Nilikutafuta kona zote huonekani kipenzi demiss kaolewa, jukwaani nashambuliwa peke yangu bora umerudi tuwanyooshe wanaume suruali wa humu love you sana sana
 
Nilikutafuta kona zote huonekani kipenzi demiss kaolewa, jukwaani nashambuliwa peke yangu bora umerudi tuwanyooshe wanaume suruali wa humu love you sana sana
[emoji23][emoji23][emoji23]mme ameshanipiga makufuru naimani sana kampany yako na Mambembe jamn tutakutna piem tu mamy

Loh nakonda mwenzio namiss mapovu balaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]mme ameshanipiga makufuru naimani sana kampany yako na Mambembe jamn tutakutna piem tu mamy

Loh nakonda mwenzio namiss mapovu balaaa
Mshana mfungulie huyu mtu tunamhitaji kiduchu jomoniiii
 
Nilikutafuta kona zote huonekani kipenzi demiss kaolewa, jukwaani nashambuliwa peke yangu bora umerudi tuwanyooshe wanaume suruali wa humu love you sana sana
Uwiiiiiiii jomoni alafu kaoleeawa na mzee wa tunguli chaaaaaa jaman,wasikushughulishe hawa wanaume suruali im back yaan kwa sasa ni jino kwa jino haaachwi mtu
 
Yaan kwa mwandiko wako tu inaonekana una tako balaa,..kitu mnato
 
Call the haters, call The list,nokia and east blah blah
Tel em the quen is back hahahaha there is no permanent sitaution at all .....mambembe is freee ....hahaha unstoppable is back...aiseee hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha hatimaye ban imexpire
Aiseee sikuamini kuwa mimi ni superstar until nilivyoona notifications zenu khaaa sio kwa kutajwa kulee jaman sasa naombaa muwaambiee kuwa the queen is back

Believe me, it’s very possible to rise above the hate, and if you’re dealing with haters, you can rise above it too by:
1) showing your haters that their words have no effect on you yaaan hujali kabisa na piaa
2) showing them that you’re happy with who you are by doing more of what they hate yaan unawatiaa nyembe zaidi kama ninavyoaanza now na cha mwisho kabisa dont forget to be u .....

Point of correction guys mimi sio the list na wala simjui nilishangaa tu yule mkaka from no where kilaa ninapoweka comment naye kaja kuandika upupu wake na mm nilikuwa nashindwaa kuvumiliaa yaaani nilitaman nikutane naye nimtafune bt all in all im back again....

Wale mashost wanafki waliozani nimekuja kuwaibiaa mabwana zao naomba warelax coz sina tym na mwanaume yoyote humu ndani though nina pm zaid ya 150 mpka sasa bt kwakweli sipo tayari kujibu so mabwana zenu msiwe na hofu nao coz nipo hapa kusocialise na sio vinginevyo manake ma queen uchwara walinunaje jaman khaaaa kama nawaona watakavyoupitaa huu uzi ila ndo nshasema and message sent

Na kwa wale wanaume msojielewa/wanaume suruali wafata mikumbo ya jf muache tabia za kike mwishowe mnakuja kuaibika kwa vitu vyaa ajabu kisa ushabiki wa kijingaa kisa kasema flani kitu wote mnajitiaa kumshambuliaa mtu acheni tabia hizo mtakuja valishwa shanga mshindwe kuzihesabu na kutofautisha rangi

Walionimiss nimewaonaaa na wale wanafki nimewaonaaa piaaa all in all IM BACK BIIIIIIIIIIISSSH


Mambembe unstoppable
The queen is back
Ikiuma chomoa


Hahahaaaa

Mikwara ya hatari..Extroverts mna mambo sana!

Sijui kwanini hamuwezi ishi bila makelele!

It is good though!
 
Uwiiiiiiii jomoni alafu kaoleeawa na mzee wa tunguli chaaaaaa jaman,wasikushughulishe hawa wanaume suruali im back yaan kwa sasa ni jino kwa jino haaachwi mtu
Yes yes mpk tuwanyooshe kiasi .kwamba wakiona ID zetu wajifungie ndani km wale wa sinza walivyoona chatu
 
[emoji23][emoji23][emoji23]mme ameshanipiga makufuru naimani sana kampany yako na Mambembe jamn tutakutna piem tu mamy

Loh nakonda mwenzio namiss mapovu balaaa
Mshana mfungulie huyu mtu tunamhitaji kiduchu jomoniiii
Uwiiii jaman mshana naombaa atuachiee shoga etu mwanamke hulka bibi ww tuvitu tudogodogo kama kuchamba kwa mwanamke sunaa bibi weee yann kukubaniaaa shosti ....ilaa usijali ndoaa tamu basi utakuwa unachamba kwa codes najuaa mshana hawez jua kama ni mchambo lol
 
Call the haters, call The list,nokia and east blah blah
Tel em the quen is back hahahaha there is no permanent sitaution at all .....mambembe is freee ....hahaha unstoppable is back...aiseee hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha hatimaye ban imexpire
Aiseee sikuamini kuwa mimi ni superstar until nilivyoona notifications zenu khaaa sio kwa kutajwa kulee jaman sasa naombaa muwaambiee kuwa the queen is back

Believe me, it’s very possible to rise above the hate, and if you’re dealing with haters, you can rise above it too by:
1) showing your haters that their words have no effect on you yaaan hujali kabisa na piaa
2) showing them that you’re happy with who you are by doing more of what they hate yaan unawatiaa nyembe zaidi kama ninavyoaanza now na cha mwisho kabisa dont forget to be u .....

Point of correction guys mimi sio the list na wala simjui nilishangaa tu yule mkaka from no where kilaa ninapoweka comment naye kaja kuandika upupu wake na mm nilikuwa nashindwaa kuvumiliaa yaaani nilitaman nikutane naye nimtafune bt all in all im back again....

Wale mashost wanafki waliozani nimekuja kuwaibiaa mabwana zao naomba warelax coz sina tym na mwanaume yoyote humu ndani though nina pm zaid ya 150 mpka sasa bt kwakweli sipo tayari kujibu so mabwana zenu msiwe na hofu nao coz nipo hapa kusocialise na sio vinginevyo manake ma queen uchwara walinunaje jaman khaaaa kama nawaona watakavyoupitaa huu uzi ila ndo nshasema and message sent

Na kwa wale wanaume msojielewa/wanaume suruali wafata mikumbo ya jf muache tabia za kike mwishowe mnakuja kuaibika kwa vitu vyaa ajabu kisa ushabiki wa kijingaa kisa kasema flani kitu wote mnajitiaa kumshambuliaa mtu acheni tabia hizo mtakuja valishwa shanga mshindwe kuzihesabu na kutofautisha rangi

Walionimiss nimewaonaaa na wale wanafki nimewaonaaa piaaa all in all IM BACK BIIIIIIIIIIISSSH


Mambembe unstoppable
The queen is back
Ikiuma chomoa
ok.
 
Back
Top Bottom