Mpira umerudi kwa kipa and the queen is back!

Mpira umerudi kwa kipa and the queen is back!

Kwani huyu KK ana shoga?
The nimeuliza tu
Hahahaha watajijuaa wenyewe manake walikuwa kikosi wananishambuliaa sa how should i call them kama sio hivyo coz wanaume hawana tym ya kumshambuliaa mtu as a group bt wao walifanya hivyo means ni mashostiz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23](jokin)
 
Call the haters, call The list,nokia and east blah blah
Tel em the quen is back hahahaha there is no permanent sitaution at all .....mambembe is freee ....hahaha unstoppable is back...aiseee hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha hatimaye ban imexpire
Aiseee sikuamini kuwa mimi ni superstar until nilivyoona notifications zenu khaaa sio kwa kutajwa kulee jaman sasa naombaa muwaambiee kuwa the queen is back

Believe me, it’s very possible to rise above the hate, and if you’re dealing with haters, you can rise above it too by:
1) showing your haters that their words have no effect on you yaaan hujali kabisa na piaa
2) showing them that you’re happy with who you are by doing more of what they hate yaan unawatiaa nyembe zaidi kama ninavyoaanza now na cha mwisho kabisa dont forget to be u .....

Point of correction guys mimi sio the list na wala simjui nilishangaa tu yule mkaka from no where kilaa ninapoweka comment naye kaja kuandika upupu wake na mm nilikuwa nashindwaa kuvumiliaa yaaani nilitaman nikutane naye nimtafune bt all in all im back again....

Wale mashost wanafki waliozani nimekuja kuwaibiaa mabwana zao naomba warelax coz sina tym na mwanaume yoyote humu ndani though nina pm zaid ya 150 mpka sasa bt kwakweli sipo tayari kujibu so mabwana zenu msiwe na hofu nao coz nipo hapa kusocialise na sio vinginevyo manake ma queen uchwara walinunaje jaman khaaaa kama nawaona watakavyoupitaa huu uzi ila ndo nshasema and message sent

Na kwa wale wanaume msojielewa/wanaume suruali wafata mikumbo ya jf muache tabia za kike mwishowe mnakuja kuaibika kwa vitu vyaa ajabu kisa ushabiki wa kijingaa kisa kasema flani kitu wote mnajitiaa kumshambuliaa mtu acheni tabia hizo mtakuja valishwa shanga mshindwe kuzihesabu na kutofautisha rangi

Walionimiss nimewaonaaa na wale wanafki nimewaonaaa piaaa all in all IM BACK BIIIIIIIIIIISSSH


Mambembe unstoppable
The queen is back
Ikiuma chomoa
Mambembe pokea salamu za nturu dear [emoji7]
 
The List alisema wewe ni ERICK OTIENO.nitoe waswas nije PM
[emoji706]kwanza erick simjui naomba uangalie nimejiunga lini jf ,alafu pm yangu imejaa na sina ya muda wa kujibu mtu zaidi ya choosen one not wanaume suruali....
 
Hahahaha watajijuaa wenyewe manake walikuwa kikosi wananishambuliaa sa how should i call them kama sio hivyo coz wanaume hawana tym ya kumshambuliaa mtu as a group bt wao walifanya hivyo means ni mashostiz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23](jokin)
Nimecheka sana ujue, na yeye akawa mpoleee
 
Nimecheka sana ujue, na yeye akawa mpoleee
Ataachaje sasa best sio kwa kuniandama kule alafu kuna mtu kanitonya walikuwa wanaambiana pm waje kunishambuliaaa nashukuru Mungu nilipigana mwenyewe ile vitaa
 
Back
Top Bottom