Mpira wa miguu ni kitu kimoja cha ajabu duniani,ni kitu pekee ambacho dunia imekubali kuwa wamoja na kuongozwa na taasisi moja kubwa(FIFA)
Binadamu pamoja na ubishi wao ila kwenye huu mchezo waliufyata mkia na wote kuwa kitu kimoja.
Ona maandishi watu waligoma kuna maandishi ya kihindi,kichina,kiarabu na haya ninayotumia,lugha ndo usiseme zipo nyingi mno lakini kwenye football eti dunia nzima ikawa kitu kimoja