Mpira wa Afrika ni mgumu na wa ajabu sana, usiposhinda nyumbani kwa mabao mengi imekula kwako

Mpira wa Afrika ni mgumu na wa ajabu sana, usiposhinda nyumbani kwa mabao mengi imekula kwako

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Mamelod amechukua ubingwa wa AFL leo kwa kumaliza shughuli nyumbani, naamini kabisa kama ngoma ingemalizwa kule Morocco basi bila shaka Wydad angekuwa bingwa, Africa iachane na mambo ya fainali kuwa mbili, vinginevyo mcheza kwao ataendelea kutunzwa.
 
Tufikirie nje ya box guy's, sio kila kitu cha Europe tunakiiga,hii final ingefanyika Nairobi, Lagos au Dar ingeleta mashabiki wengi uwanjani?Europe inawezekana kutokana na usafiri kuwa rahisi na movements za raia kuwa rahisi, kuvuka tu kutoka Tanzania kwenda zambia, pamoja na kuwa ni OSBP inachukua masaa kibao, Africa bado sana
 
Safi sana Mamelodi, Nimependa sana Walichofanya leo mamelodi haswa kwenye upande wa Kupoteza Muda,

maana Nimeangalia Fainali nyingi sana za Ulaya hakunaga ujinga wa kupoteza muda maan Ukifanya hivyo huwa klabu inatozwa Faini kubwa sana,

kitu ambacho kinafanya Nidhamu ya mchezo iwepo ila Hapa africa Haswa Waarabu wamekuwa na Tabia ya kupoteza muda hovyo na Kupata ubingwa ila leo mbinu yao imewageukia wenyewe,

naimani Rais wa Fifa kaona hili tatizo na naamini atachukua hatua Stahiki kwa kutunga Sheria kali ili huu Upuuzi wa Kuchelewesha muda na Fitna nyingnezo Ziishe.
 
Safi sana Mamelodi, Nimependa sana Walichofanya leo mamelodi haswa kwenye upande wa Kupoteza Muda,

maana Nimeangalia Fainali nyingi sana za Ulaya hakunaga ujinga wa kupoteza muda maan Ukifanya hivyo huwa klabu inatozwa Faini kubwa sana,

kitu ambacho kinafanya Nidhamu ya mchezo iwepo ila Hapa africa Haswa Waarabu wamekuwa na Tabia ya kupoteza muda hovyo na Kupata ubingwa ila leo mbinu yao imewageukia wenyewe,

naimani Rais wa Fifa kaona hili tatizo na naamini atachukua hatua Stahiki kwa kutunga Sheria kali ili huu Upuuzi wa Kuchelewesha muda na Fitna nyingnezo Ziishe.
Club gani ulaya ilishatotwa faini kubwa KWA kupotoza muda uwanjani?
 
Back
Top Bottom