choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
Umemaliza kila kitu, America kusini pia ni mbiliTufikirie nje ya box guy's, sio kila kitu cha Europe tunakiiga,hii final ingefanyika Nairobi, Lagos au Dar ingeleta mashabiki wengi uwanjani?Europe inawezekana kutokana na usafiri kuwa rahisi na movements za raia kuwa rahisi, kuvuka tu kutoka Tanzania kwenda zambia, pamoja na kuwa ni OSBP inachukua masaa kibao, Africa bado sana