Nilichogundua mpira wetu wakitanzania unachezwa zaidi kwenye mitandao, vijiweni, mezani na fitna nyingi sana kuliko hata wanjani, mpira umegeuka uadui mkubwa sana baina ya pande hizi huyu [emoji881] na huyu [emoji196] sijui hata tunakosea wap na kwa style hii hatutofika popote kimpira tutabaki humu humu ndani.