Mpira wa Miguu

Mpira wa Miguu

King-Suma

New Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
4
Reaction score
1
Naomba kuuliza,

Kwa goli la Baleke alilomfunga Makaka, Refa akalikataa na kumpa kadi ya njano. Je ni goli halali ama? Msaada plz
 
Naomba kuuliza,
Kwa goli la Baleke alilomfunga Makaka,Refa akalikataa na kumpa kadi ya njano.Je ni goli halali ama? Msaada plz
Ni goli halali 100% halina shida.

Waamzi wamepuyanga
 
Sio goli Halali, kipa akirusha mpira akitaka kuupiga unahesabika uko kwenye himaya yake mpaka labda auache udunde chini ndo inakua open play

Huu ujinga niliuona kwenye mechi ya Simba day Simba walipata goli kama hili baada ya kipa kupokonywa mpira kwa staili hii, ikazaa Kona hatimae goli nilimdharau sana yule Refa

Kina Henry, ronaldhino washafunga sana magoli haya na yanakataliwa


View: https://youtu.be/fxXT6QoXRRU
 
Hiyo clip wamedundisha mpira?
Mpira kadundisha ukarudi mikononi, tafsiri ya sheria za fifa zinasema mpira bado utakua mikononi kwa kipa pale atakapouchia ili kuupiga mpaka ukifika chini, kabla hujarudi mikononi mwake inakua open play... Ukirudi mikononi kwake sheria Zina apply tena..... Sasa huelewi nini
 
Mpira kadundisha ukarudi mikononi, tafsiri ya sheria za fifa zinasema mpira bado utakua mikononi kwa kipa pale atakapouchia ili kuupiga mpaka ukifika chini, kabla hujarudi mikononi mwake inakua open play... Ukirudi mikononi kwake sheria Zina apply tena..... Sasa huelewi nini
Kwa hiyo magolikipa ambao huwa wanageuka nyuma kuona kama kuna mchezaji wa timu pinzani, huwa ni kukosa kujiamini? Maana kama ni kosa kumpora mpira kipa hata akiudundisha, kwa nini wageuke nyuma kuangalia usalama?
 
Kwa hiyo magolikipa ambao huwa wanageuka nyuma kuona kama kuna mchezaji wa timu pinzani, huwa ni kukosa kujiamini? Maana kama ni kosa kumpora mpira kipa hata akiudundisha, kwa nini wageuke nyuma kuangalia usalama?
Wewe jaribu kuwa muelewa .
Jamaa mbona yuko clear kabisa kaweka wazi wewe unaleta habari za kugeuka nyuma
 
Hiyo clip wamedundisha mpira?
Mpira kadundisha ukarudi mikononi, tafsiri ya sheria za fifa zinasema mpira bado utakua mikononi kwa kipa pale atakapouchia ili kuupiga mpaka ukifika chini, kabla hujarudi mikononi mwake inakua open play... Ukirudi mikononi kwake sheria Zina apply
Kwa hiyo magolikipa ambao huwa wanageuka nyuma kuona kama kuna mchezaji wa timu pinzani, huwa ni kukosa kujiamini? Maana kama ni kosa kumpora mpira kipa hata akiudundisha, kwa nini wageuke nyuma kuangalia usalama?
Mpira ukifika chini inakua open play, lakini akirusha kuupiga kabla haujafika chini tafsiri ya fifa inasema inakua mikononi mwa kipa, hao wanaoangalia nyuma wanataka kuuweka chini, na ukifika chini inakua open play
 
Hilo ni GOLI Halali mkuu.

Utata WA Hilo goli ni kutokana na Umakini WA Refaree.

Makaka aliudundisha Mpira chini kwa mikono akaudaka akataka kupiga.

Kama asingeudundisha lisingekuwa ni Goli, ila Makaka aliudundisha na Hatimaye ni goli halali kwa asilimia 100.

Alishautoa Mpira Mikononi mwake kwa Kuudundisha Chini
Ni goli 100%.
 
Hilo ni GOLI Halali mkuu.

Utata WA Hilo goli ni kutokana na Umakini WA Refaree.

Makaka aliudundisha Mpira chini kwa mikono akaudaka akataka kupiga.

Kama asingeudundisha lisingekuwa ni Goli, ila Makaka aliudundisha na Hatimaye ni goli halali kwa asilimia 100.

Alishautoa Mpira Mikononi mwake kwa Kuudundisha Chini
Ni goli 100%.


sio goli acha ubishi kasome sheria za fifa.
 
Back
Top Bottom