Mpira wa Simba unashusha uchumi wa hii nchi

Mpira wa Simba unashusha uchumi wa hii nchi

Nelson Kileo

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2011
Posts
3,053
Reaction score
3,259
Nimesikitika sana leo, nimekwenda kwenye workshop moja ya Chuma | Welding kufuatilia kazi niliyopa cha kushangaza nikaambia wahusika wamekwenda kutizama mechi ya Simba Vs Kagera ,so ni subiri baada ya dakika tisini watarudi.

Kusonga kando ya hardware iliyopo karibu nikakuta zote mbili zimefungwa na wahusila wamekwenda kutizima mpira, kumbuka yalikua Majira ya Jioni mida ya saa kumi.

Hii kiuchumi ni mbaya mno, haijakaa sawa kwa taifa linalopambana kutoka kwenye Umaskini.
 
Kawaulize wenye vibanda wanavopiga hela halafu mkuu huyo fundi toka asubuhi
 
HII BARABARA YA MWENDO KASI KUELEKEA MBAGALA MAREHEMU ANGKUWEPO KUNA MTU ANGEFUKUZWA KAZI
 
Nimesikitika sana leo,nimekwenda kwenye workshop moja ya Chuma|Welding kufuatilia kazi niliyopa cha kushangaza nikaambia wahusika wamekwenda kutizama mechi ya Simba Vs Kagera ,so ni subiri baada ya dakika tisini watarudi ,kusonga kando ya hardware iliyopo karibu nikakuta zote mbili zimefungwa na wahusila wamekwenda kutizima mpira,kumbuka yalikua Majira ya Jioni mida ya saa kumi.
Hii kiuchumi ni mbaya mno , haijaka sawa kwa taifa linalopambana kutoka kwnye Umaskini
Wazo kubwa sana, MECHI ZICHEZWE KUANZIA SAA MOJA JIONI
 
Unaendaje kufuatilia kazi saa 10?
Saa 10( ni mda wa kula tunda kimasiara au kimkakati.)....

Fundi welding(chuma) hicho ni kitanda bila ubishi

Kwahiyo ulitaka watu wasiende kuangalia mpira kisa urekebishiwe kitanda chako cha chuma... ??!?!
nunua kitanda kipya mkuu,au nenda nae lodge hiyo saa 10 vyumba vingi vinakuwa viko empty
 
Nimesikitika sana leo,nimekwenda kwenye workshop moja ya Chuma|Welding kufuatilia kazi niliyopa cha kushangaza nikaambia wahusika wamekwenda kutizama mechi ya Simba Vs Kagera ,so ni subiri baada ya dakika tisini watarudi ,kusonga kando ya hardware iliyopo karibu nikakuta zote mbili zimefungwa na wahusila wamekwenda kutizima mpira,kumbuka yalikua Majira ya Jioni mida ya saa kumi.
Hii kiuchumi ni mbaya mno , haijaka sawa kwa taifa linalopambana kutoka kwnye Umaskini
Unalijua pira biliani wewe ?
 
HII BARABARA YA MWENDO KASI KUELEKEA MBAGALA MAREHEMU ANGKUWEPO KUNA MTU ANGEFUKUZWA KAZI
Kwanini hakumalizia kabla ya kuondoka? Tumeshawachoka kwa tabia zenu ya ku-undermine Mama Samia. SSH ndiyo Rais wa Jamhuri kwa sasa. Hutaki, kajinyonge!
 
Back
Top Bottom