HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Siasa kuingizwa kwenye mpira, mpira huharibika.
Sidhani kama Yanga ingeshindwa jaza uwanja.
Wanasiasa wamechukua point, mashabiki wanateseka kwa kuuziwa tiketi kwa 15000/
Watu walio taifa ni wengi na si wote wataingia, mwisho lazima mabomu yatatumika
Sidhani kama Yanga ingeshindwa jaza uwanja.
Wanasiasa wamechukua point, mashabiki wanateseka kwa kuuziwa tiketi kwa 15000/
Watu walio taifa ni wengi na si wote wataingia, mwisho lazima mabomu yatatumika