Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
CAPO DELGADO ebu njoo ujibuAsante sana kwa kunikumbusha lakini nakuuliza walivyopigwa faini ilikua ni faini ya Nini??
Na kwa Nini wachome karatasi uwanjani.
Wewe naye bure sana.Nimekueleza hayaonekani kwa macho halafu unataka ushahidi?Hivi wangapi huko utopwise wana akili?Evidence,pleaseeeee
Huna ulijualo weweWewe naye bure sana.Nimekueleza hayaonekani kwa macho halafu unataka ushahidi?Hivi wangapi huko utopwise wana akili?
Wewe umejuaje Kama huo ni ushirikina na huonekani kwa macho acheni bana Mambo yakuwanga liveWewe naye bure sana.Nimekueleza hayaonekani kwa macho halafu unataka ushahidi?Hivi wangapi huko utopwise wana akili?
Mwehu huyo Hana hoja Bali anapenda kulaumu watu kwa kujenga hoja.CAPO DELGADO ebu njoo ujibu
Yes niutamaduni wetu hujalazimishwa kuufata na hii ndio Simba ambayo ni Miongoni mwa club 10 bora barani Afrika ikiwa na fasi ya 9 kama vipi unakunywa sumu tuKama ni utamaduni wenu basi tunaomba huu utamaduni ubaki kwenu na siyo kwenda kulidharirisha taifa kwa kuchoma uwanja wa wenzenu.
Alahly walikuja hapa uliona wamechoma uwanja?
Raja walikuja huku uliona wamechoma uwanja??
Hebu huo utamaduni wenu badilikeni.
Unaachaje utamaduni wewe?Sisi ni watamaduni ndiyo maana tunaona.Ninyi ndiyo muache kuvuavua nguo na kucheza uchi kama misukule.Wewe umejuaje Kama huo ni ushirikina na huonekani kwa macho acheni bana Mambo yakuwanga live
Asikuumize kichwa huyo popoma.Huna ulijualo wewe
Kama havionekani we umejuaje kama vipo!?
Mkuu kamatia hapo hapoAsikuumize kichwa huyo popoma.
Loser hawezi kuelewa mpaka uwe unamuelekeza huku unampigapiga kichwani na rungu.Yes niutamaduni wetu hujalazimishwa kuufata na hii ndio Simba ambayo ni Miongoni mwa club 10 bora barani Afrika ikiwa na fasi ya 9 kama vipi unakunywa sumu tu
Jenga hoja kwa kukataa au kuukubali siyo kuleta ushabiki maandaziYes niutamaduni wetu hujalazimishwa kuufata na hii ndio Simba ambayo ni Miongoni mwa club 10 bora barani Afrika ikiwa na fasi ya 9 kama vipi unakunywa sumu tu
Huna hoja kaa kwa kutuliaUnaachaje utamaduni wewe?Ninyi ndiyo muache kuvuavua nguo na kucheza uchi kama misukule.
Ulitaka niandike kitu cha kukufurahisha?Sawa.Basi una mwiko nyuma.Huna hoja kaa kwa kutulia
Unamchagulia namna ya kukujibu?Umeanza uzezeta wako.Jenga hoja kwa kukataa au kuukubali siyo kuleta ushabiki maandazi
Hana kazi za kufanya.Ila jamaa unajitahidi sana kuanzisha nyuzi aisee
Asante kwa kunikumbusha Hilo Ila tujikite kwenye maada na ushauri tuache Imani za kishirikina ili mpira wetu usonge mbele.Yaani huyu fuatilia maandiko karibia yote yahusuyo michezo, yeye na Simba tu! Timu yake pendwa ilipokuwa inapigwa faini kwa kuvunja milango ili waingie uwanjani, haoni!
Pole sana popoma/mkia/kinyumenyume kwa mawazo yako finyu.Hana kazi za kufanya.