Mpira wetu wa Tanzania hauwezi kupiga hatua mbele kama kipaumbele chetu ni Imani za kishirikina

Mpira wetu wa Tanzania hauwezi kupiga hatua mbele kama kipaumbele chetu ni Imani za kishirikina

Kama ni utamaduni wenu basi tunaomba huu utamaduni ubaki kwenu na siyo kwenda kulidharirisha taifa kwa kuchoma uwanja wa wenzenu.

Alahly walikuja hapa uliona wamechoma uwanja?
Raja walikuja huku uliona wamechoma uwanja??

Hebu huo utamaduni wenu badilikeni.
Yes niutamaduni wetu hujalazimishwa kuufata na hii ndio Simba ambayo ni Miongoni mwa club 10 bora barani Afrika ikiwa na fasi ya 9 kama vipi unakunywa sumu tu
 
Yes niutamaduni wetu hujalazimishwa kuufata na hii ndio Simba ambayo ni Miongoni mwa club 10 bora barani Afrika ikiwa na fasi ya 9 kama vipi unakunywa sumu tu
Jenga hoja kwa kukataa au kuukubali siyo kuleta ushabiki maandazi
 
Yaani huyu fuatilia maandiko karibia yote yahusuyo michezo, yeye na Simba tu! Timu yake pendwa ilipokuwa inapigwa faini kwa kuvunja milango ili waingie uwanjani, haoni!
Asante kwa kunikumbusha Hilo Ila tujikite kwenye maada na ushauri tuache Imani za kishirikina ili mpira wetu usonge mbele.
 
Back
Top Bottom