Mpira wetu wa Tanzania hauwezi kupiga hatua mbele kama kipaumbele chetu ni Imani za kishirikina

Mpira wetu wa Tanzania hauwezi kupiga hatua mbele kama kipaumbele chetu ni Imani za kishirikina

Nikae kimya kwani naongea?Unapoleta jambo usije na majibu yako kichwani.Hapa siyo kijiweni kwenu wanapokushangiliaga utopolo wako.Tulia wewe!
@NALIA NGWENA the great thinker najiamini kabisa kwa kile ninachozungumza/ninachokiandika hapa kwenye jukwaa popoma/mbumbumbu Kama wewe hunisumbui.
 
@NALIA NGWENA the great thinker najiamini kabisa kwa kile ninachozungumza/ninachokiandika hapa kwenye jukwaa popoma/mbumbumbu Kama wewe hunisumbui.
Wewe ndiyo mkebe kweli.Kwa uandishi wako wa JF ambao unapewa hadi muda wa kufikiria na kuuliza majirani ndiyo ujiite GT?Unaumwa magoti wewe!
 
Wewe ndiyo mkebe kweli.Kwa uandishi wako wa JF ambao unapewa hadi muda wa kufikiria na kuuliza majirani ndiyo ujiite GT?Unaumwa magoti wewe!
Unataka tuchati tujibishane muda wote Kama mpenzi wangu??

Kama unataka hivyo sema NALIA NGWENA mwanaume niliyekamilika huwa Sina noma [emoji41]
 
Back
Top Bottom