Mpogolo azindua msimu mpya wa Kampeni ya Mwanamke Fundi 2025

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Kuelekea siku ya Mwanamke Dunia itayoadhimisha Marchi 8 mwaka huu Mkoani Arusha, Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amezindua Msimu mpya wa Kampeni ya Mwanamke Fundi 2025.

Mpogolo amezimdua kampeni hiyo ambapo kwa mwaka huu wilaya yake pia itakwenda kuwa miongoni mwa Wilaya 4 ambazo zitampata mkali wa Futari Jikoni na Nishati Safi.

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…