duuuh noma kweli mshkaji wangu,ila ukitaka kujua msanii unathaminika vp nenda sehemu kama hizo za bushmen kama Tandahimba,Liwale,Tunduru,Ngara,Namtumbo,Bariadi,Magu,Mbozi,n.k.Tukiwa hapa Dar hao wasanii tunawachukulia poa,ila huko bush msanii akienda ni kama Mungumtu.Nimeshakaa sehemu za ajabuajabu kama hizo najua jinsi gani watu wanavyowachukulia hawa wasanii wa Dar,ni zaidi ya hapa Dar tunavyowashobokea wakina Rickross wakija Bongo.So tusimshangae mleta post,inaonyesha ni kitu ambacho hakutegemea maishani mwake kukutana na supastaa kama Mpoki