Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ameudhalilisha sana wimbo wa Congo DRHuyu jamaa cjui kwann wamemweka mbele mdomo wake una tabia ya kuvuka mipaka.
Japo kauli ni tata.. daktari wat timu naye ni mganga..Ameyatamka hayo leo wakati alikilitambulisha benchi la ufundi la Simba..
wimbo wa tz unaimba huku umesimama wkt wa congo unaimba huku unakata viuno.Amesemaje ?
Katika mambo ya soka, mganga ni wale wa tunguli.Japo kauli ni tata.. daktari wat timu naye ni mganga..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Hahahaha mkuu utaniua kwa kuchekaMpoki anajua mengi.. pale Matola ndio mganga ila wanazuga tu eti kocha
Sasa kila tukio utakuwa unalianzishia uzi, si ndio usukule wenyewe huo! Kule Nigeria Yanga wanapata bao la pili, hongereni!Ameyatamka hayo leo wakati alikilitambulisha benchi la ufundi la Simba..