Mpoki: kwenye benchi la ufundi la Simba Kuna waganga

Mpoki: kwenye benchi la ufundi la Simba Kuna waganga

Mpoki
Mwijaku
Prof J

Ongezea MC mwingine uliemouna pale Taifa
 
Bora wangemkodi hata Masau Bwire.. nimeshangaa Mpoki anavyo toa ukalimani wa uongo /utani kwenye Jambo serious
Watu Wana ongea kikingo wakizungumza ya maana jamaa linaongea utumbo mara kuzaa kunguru na ubwege mwingi

Sema jamaa yuko sawa si siku ya mambumbumbu
 
Watu Wana ongea kikingo wakizungumza ya maana jamaa linaongea utumbo mara kuzaa kunguru na ubwege mwingi

Sema jamaa yuko sawa si siku ya mambumbumbu
🤣🤣🤣🤣🤣
 
We jamaa akili umeacha kwenu ama sasa kuna timu gani duniani ambayo haina waganga ( ma doctors)
 
Back
Top Bottom