Mpoki...

mbona jazba dogo?nna uhakika kama una demu asilimia mia hawezi kunikataa........maneno yako inaelekea umaskini na muonekano wa ajabu ndo unakusumbua!

Hivi unaweza changia topic yoyote bila kusifia wanaume wenzako na kujisifia wewe kama ni mzuri? Yani nadhani sio mimi pekee ni hakika washangaza wengi.
Topic inamhusu mpoki kuwa mchekeshaji, wewe ushaanza uzuri.
Haya na uzuri wa sura haujalishi sana kinachojalisha ni pesa, famous na kula pamba thats all. Ndo maana unayemwita mnyama anatembea na akina dada mastar si kwamba ana sura inavutia, ni kwamba ni famous, anapiga pamba za ukweli na sa hivi ana ela. Haya nenda na demu wako kwake huyo unaye mwita mnyama na huo uzuri unaodai unao akimtaka demu atakutosa kama vile hakujui.
 

Huyu dogo wale waarabu si washamharibu!? Mzoee! Hana tofauti na yule mwenzie alotoboa pua.
 
Yule sista duu presenter,ni bomba sanaaaaa, kiuno sura mguu,mtoto kaumbika sana yule,japo mie msichana ila hilo nililiona, Mpoki ni kiboko aisee,nilicheka mpaka nilipaliwa,Eti mwimbo wa Diamond moyo wangu, eti mtu mzima unaimba moyo moyo si uende india ukatibiwe
 
anaweza yule bro kwa upande mwingi alifunika sana dat day
 
wasichana wa sinza mnaringa nini na wakati kwenu maji yanatoka kwa wiki mara moja
 
kweli mpoki anachekesha lakini sio kila mtu anamfahamu, maarufu kwako hawezi kuwa maaarufu kwangu bana.
 
Huyu dogo wale waarabu si washamharibu!? Mzoee! Hana tofauti na yule mwenzie alotoboa pua.

Usishindane na star mwenye award ya mauzo we pimbi!!!unamchukia mtu ambaye demu wako anampenda!unapoteza muda
 
kwa upande wangu huyu jamaa hanichekeshi hata kidogo, labda fuse zangu za kuchekea zimeungua!!
 
Mpoki ni zaidi ya mchekeshaji,na siku ile nilikua namtizama na kumsikiliza yeye tu,
Jamaaa yuko fiti sana na anaijua kazi yake!

Umenena. Unajua watu huwa hawatak kusema ukwel mpaka m2 afe utasikia ooh, alkuwa mchekeshaj mzuri. Wakat mzima wanamkandia. Mpoki hata me namkubali.
 
Usishindane na star mwenye award ya mauzo we pimbi!!!unamchukia mtu ambaye demu wako anampenda!unapoteza muda

Una mawazo ya kibwege sana we mrembo.
Sasa kwa nini demu wangu asikupende wakati we ni mwenzie tuu. Hamna mnachotofautiana as long as majukumu yake yote huwa unayaperform vizuri tuu hasa yale ya kindoa.
Aaah baby H!! Does this make any sense to u?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…