Mpoto: Kuna bakteria wa ushoga mwanaume anazaliwa nao

Migomba

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2013
Posts
945
Reaction score
1,337
Msanii nguli wa mashairi ameeleza kwamba kuna bakteria wanakaa njia ya haja kubwa ambao mtoto huwa anazaliwa nao, na hao ndio wanafanya baadae aje kuwa shoga.

Pia ametaja tabia ya watoto kujisaidia chini kuwa ni moja ya tiba ambazo wazee wa zamani walizijua lakini siku hizi kutumia mapoti ndio kunazidi kuharibu watoto.

Ona video..

 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…