Mpoto: Mzee Ngosha wa Nembo ya Taifa alikuja kwangu kama 'chizi', tukafanya kazi, akatutoroka..

Aisee.

Kweli hakumuona kwenye TV alipoibuliwa na ITV?

Kilichomfanya leo ajue ni yeye ni nini?
 
Huu ndio unafiki wakutupwa ina maana siki zote hizi tarifa za mzee zinasambaa mitandaoni picha zake hakujua hilo leo kafa anajua hatutopata ukweli pengine alimdhurumu au vipi ndio anakuja na porojo zake
 
Et alitutoroka..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mdau hapa amenichekesha anasema ameshindwa kutambua sura ya mtu hai ameweza kutambua sura ya mfu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…