MP's wife condemns US embassy over visa refusal

Mbali na huyu mama kupayuka maana siamini asemayo pia US na EU wana sheria zao ambazo sasa ni ngumu sana kutupatia Visa.Nimeshuhudia hata Wabunge wetu wa sasa wanazungushwa kupata Visa na nadhani wengine wamepata wiki hii ama bado kwa ajili ya ziara za kikao Ulaya .It is time nasi kuwa macho na utoaji wa Visa maana si kwamba tunawahitaji sana wao na wao pia watuhitaji .Lakini hadithi ya huyu Mama bado mie haijaniingia na naelekea kunywa gahawa hapa Magomeni .
 

Wow!!... FMES umeamua uunguze kabisa!!!!!

I was wondering mbona akaombe visa Nairobi na sio Dar?...It is much easier
to get a visa Bongo kuliko Kenya.

...Ni raia wa wapi huyu mama?..ni Mkenya, amekaa States 20yrs na afu pia ameolewa na Mbongo...somebody do the math.

...Je mwanae alikua legally documented in the States?

...Kama wasemavyo wachangiaji, hapa kuna another side to the story.

..Meanwhile hawa wamarekani si eti wanahuruma na mambo ya
undugunization kwenye haya maswala.They can be as cold as the grave!
 

...kweli embassy hapo imekuwa kivumbi,sasa ndio wamehalalisha mtu ukikanyaga tuu states dawa ni kukamata mama la kizungu,ngabu upo hapo? ushauri wa bure huo na lile beef lako ulilolichomoa south dakota inabidi likurekebishie mambo!
 

Unajua katika kupambana na ufisadi USA na EU wameamua kutowapa mafisadi visa, bila kujali cheo chako, kwa hiyo katika hao wabunge wanawaangalia kama wapo katika kundi la mafisadi au la.
Na so kwa huyu Mama Mrema, inawezekana Mumewe ni fisadi hapa Tz au baba yake ambaye ni Mkenya ni Fisadi?
 

Ab,

Mimi nimeshutuka kidogo kuona alienda kuombea Nairobi na katoa sababu kwamba ni Mkenya.

Labda aliona kule ni karibu zaidi kutokea Arusha, vinginevyo kwasababu ni resident wa Tanzania angeweza kuombea Dar bila matatizo, sio lazima uwe raia wa sehemu ili kuombea visa kwenye hiyo nchi.

Ila kwa uzoefu wangu na hawa jamaa kwenye mambo ya visa wakati mwingine wanakuwa wajinga na kukataa bila sababu za msingi. Ukikata rufaa kwa mfano kwa cases za UK, wanagundua wataumbuka, wana review application na kutoa visa hapo hapo badala ya kuipeleka rufaa mbele.

Wacha tuone na hao USA watajibu nini.
 
"I have lived and worked in the US using a Green Card for over 20 years,"- Dr.Mrema

..kama mama alikuwa viwanja miaka 20 na ana Green Card kwanini anyimwe visa?

katika sakata hili ni vyema kusikiliza pande zote mbili kuna kitu kina-miss hapa.Dr Mrema ni lazima aelewe kwamba kuwahi kuwa na Green Card kwa miaka 20 sio guarantee ya kuingia US,ina maana hiyo Green Card yake ilikwisha expire kama ingekuwa valid asingekuwa na sababu ya kwenda kuomba visa.

Kinachonishangaza mimi ni kwamba ina maana huyu Mama haku-renew GC yake , ina maana hata uwe umekaa miaka 20 legally huko US lakini sasa hauna Status na inabidi urudi dirishani Embassy kuomba visa kama mtu mwingine.

Kwa utaratibu wa uhamiaji huko US kuna Green Cards za aina mbili 1).Temporary (2yrs). 2).Permanent (10yrs) na hakuna Green card ya Miaka 20,kwa maana hiyo Dr Mrema alikuwa ana-renew GC yake mara kwa mara(inategemea aina ya GC kama ya Kazi,kuoa,Lottery,Ukimbizi,Arts) na hiyo Permanent Resident Card (GC) ya miaka kumi una option ya kuomba Uraia ukifikisha miaka Mitano,na kama hutaki una-renew na wanakupa Card nyingine ya miaka mitano.

Hata hivyo Dr Mrema alipaswa pia kupata Invitation Letter kutoka kwenye hiyo Hospitali alolazwa mwanae,huo ndio utaratibu wa US,kwani hata wanaokwenda kuchukua Maiti Huko US inapaswa waletewe invitation Letter na Funeral Home iliyomtunza Marehemu,nafikiri katika misingi hiyo mtoa viza ndio akaona asimpe viza Mama kwa ushahidi wa maneno bila vidokezo.

Ni kweli inauma na ukizingatia kuwa Mwanao ni mahututi,lakini pia ni lazima tujali taratibu za kazi za wenzetu.Natanguliza Pole kwa ndugu na Jamaa wa Marehemu..Lakini pia Dr kama anaona hakutendewa haki anaweza kuwakilisha malalamiko yake kwa State Department na Jamaa huko hufanyia kazi/uchunguzi malalamiko hayo!
 
Had it been ubalozi wa bongo umefanya hivyo am sure masanja ungelaumu.kwa kuwa ni mzungu they are always right poor africans
 
"I have lived and worked in the US using a Green Card for over 20 years,"- Dr.Mrema

..kama mama alikuwa viwanja miaka 20 na ana Green Card kwanini anyimwe visa?

Jokakuu

Kwa kuongezea tu aliyoeelezea Mwawando, inaonekana huyu mama alitelekeza GC yake kwa kuhamisha makazi nje ya Marekani.

Kizuri kuhusu U.S GC ya miaka 10 huwa hai-expire (unless unyang'anywe). Ila kama ukikaa nje ya Marekani zaidi ya mwaka mmoja, unapaswa kuomba re-entry permit. Of course, utahitaji kuelezea kwa makini ni nini kilichokukalisha nje ya nchi yao muda wote huo.

Well, kwa sababu huyu mama aliitelekeza GC yake, na kwa sababu nia yake ilikuwa kuja mara moja kwa ajili ya matatizo ya mwanawe, basi ilimpasa kwenda dirishani kuomba visa kama mgeni mwingine yoyote yule.

Situation ingekuwa tofauti kabisa, kama angekuwa anajaribu kurudi kuishi U.S. Hapo angepaswa kuomba re-entry permit, pamoja na kuifufua GC yake. Kuifufua GC yake isingekuwa tatizo kama hakuwa na record yoyote chafu kutokana na sheria za Marekani.

Pole ziende kwa familia yake
 

Jamani, let us be fair, Je mnajuaje status ya huyo mama? if she was a green card holder then she does not need a visa. For a Legal Permanent Resident (LPR), unless you have lost your status , you do not need to apply for the Non Immigrant Visa to go back to U.S. If Mrs. Mrema lost her status, then how did she lose it?

It is the duty of the applicant to submit all documents if needed. The application fee payable cater for many staff and U.S does not employ people to make calls.

That is being sentimental, the issues is not umaskini ....Issue is you need to qualify for the visa.
 
Pole za dhati kwa familia. Mungu ailaze roho ya merehemu mahali pema peponi.

Kuishi USA kwa miaka 20 halafu inakubidi urudi kuomba visa siku moja ni upuuzi (pengine aliona mume amekuwa mbunge akajua mambo tambarare). Mhh somo kwa sie wengine...Mimi hapa nilipo bila passport siondoki, sijali nikionekana sio mzalendo lakini inapotokea una mtoto icu...uzalendo hausaidii kitu.
 
It seems there are strong undercurrents as to the refusal of the visa.Of course it is a sad episode but the potpourri of the whole issue suggests that there is more than that meets the eye.
 
Suala si kuombea visa Embassy ya Nairobi, angeweza kwenda hata Mumbai, au hata Mogadishu (hapa nimeweka ka chumvi kidogo kufurahisha jamvi). Point yangu hapa ni kwamba ukiwa na facts na documents zote ziko in a right order na story yako haiji contradict yenyewe, unakuwa granted visa in a matter of few minutes. Hawa jamaa hawafanyi kazi kwa emotions, wanafanya kazi kwa kufuata sheria. Japokuwa I have been at the Embassy na kuona jinsi tunavyokuwa humiliated lakini that's what we are getting for being poor. Nafikiri process ya kuomba ku visa kwenye Embassies za Marekani kama legal permanent residency versus Non Immigrant ni tofauti.
but naungana na wadau wengine kusema kwamba kuna piece ya hii puzzle ambayo bado hatuna to make a sense of this picture.
 
...kweli embassy hapo imekuwa kivumbi,sasa ndio wamehalalisha mtu ukikanyaga tuu states dawa ni kukamata mama la kizungu,ngabu upo hapo? ushauri wa bure huo na lile beef lako ulilolichomoa south dakota inabidi likurekebishie mambo!

Faza mi si mwenzako wewe.....wewe kama unahitaji tunye tunye la makaratasi nitafute tu babu, nitakupigia krosi
 
Faza mi si mwenzako wewe.....wewe kama unahitaji tunye tunye la makaratasi nitafute tu babu, nitakupigia krosi


Nyani,

Just out of curiosity, ninauliza kama una chochote kwenye apartments hizi hapo 3235 Hering Ave, Bronx, Bronx, NY.


 

Attachments

  • NyaniNgabu.jpg
    75.3 KB · Views: 134

Naam, lazima uchangamkie ganda, Membe kishatwambia Watanzania kwamba udual citizenship upo njiani. Tanganyika inaelekea wameshaamua hili wanasubiri na Visiwani nao waamue maana inasemekana hili ni swala ambalo inabidi liamuliwe na nchi zote mbili za Muungano.

Sijui visiwani wanangoja nini kubariki swala hili. Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi kote wamesharuhusu dual citizenship wameona faida ni kubwa mno kuliko hasara, bongo bado tunapiga blah blah.
 

Shadow,

Hivi kweli unajua sheria za uhamiaji zinasemaje? Soma ndugu yangu usije ukajikuta siku moja kama huyu mama.

Mimi sio mjuzi wa green card ila naamini ni kama permanent residence ya UK. Ukiamua kurudi kwenu kimoja kisheria unapoteza hapo hapo. Ukitaka kurudi lazima uombe upya, kama unataka kurudi kwa muda mfupi basi unaomba visa.

Nikisoma arguments za watu wengi hapa inaelekea kabisa hawajui sheria za immigration zinafanyaje kazi. Kama huyo mama aliamua kurudi nyumbani moja kwa moja automatically alipoteza green card yake.
 


Mtanzania

Unawezaje kuishi USA kwa kufuata sheria "green card" miaka 20 halafu "uamue" kurudi Tanzania "moja kwa moja" kwa maana ya kwamba hata mtoto wako akiwa icu ushindwe kuingia kwenda kumuona..!!?? Hili mimi haliniingii akilini...
 
Hayo ya green card ni complicated, but to accuse the poor woman of shady dealing na kusema eti mume wake ni fisadi is WRONG! Nafahamu watu wengi tu ambao wamekuwa refused a visa on flimsy grounds, mengi sana humtegemea afisa wa ubalozini.
Kuhusu yeye kwenda Kenya kuomba, najua 100% kwamba Wamarekani (na hata EU countries more and more) wanasema ni vyema ukaombe katika country of origin. I know this to be true of a friend in Europe (mbongo) who applied for US visa na aliambiwa ni vyema akiombea nchini kwake for personal visits. Alikuwa ana residence permit katika nchi hiyo ya Europe lakini temporary.
My point is there are many more 'mundane' explanation na tusipende kusema vitu kwa kukisia tu na kumharibia mtu jina.
Pole kwa familia kwa msiba wao na nina uhakika huyu mama ameongea kwa jazba, na atakapopoa na akirudi US embassy anaweza kupewa explanation.
BTW kwa taarifa yenu: hawa officers huko embassy si Miungu mtu na tusiwaabudu. Mnafikiri they are like CIA, but most of them do work on intuition. And these days more and more people are told that you can sue the embassy and/or officers. Mtu ninayemjua alianza proceedings huko Marekani kupitia mume wake baada ya kuwa denied entry visa to join her husband na alishinda kesi na hatimaye alipewa visa. Food for thought!
 

Mtanzania, Asante kwa mtizamo wako lakini napenda kusema kwamba maelekezo yangu ni sahihi kabisa. Na masuala yote ya immigrationa nowdays yanashughulikiwa na USCIS( zamani INA). Unaweza soma hapa kuhusu masuala yote kuhusu namna mtu anavyoweza kupoteza status yake kama Legal Permanent Reisdent aka Green Card Holder. Natumaini itakupa mwanga kidogo. :Now That You Are A Permanent Resident
 
I agree, there is more to this refusal than the failure to produce "invitation letter". By the way, huo ubalozi ungejuaje kama una mtoto ambaye amepata ajali kweli,

They Could all the hospital.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…