Mpuuzieni Christina Shusho, anatumika na shetani kuiaminisha jamii kuwa zinaa ni bora kuliko ndoa

Mpuuzieni Christina Shusho, anatumika na shetani kuiaminisha jamii kuwa zinaa ni bora kuliko ndoa

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Christina Shusho aliibuka mbele ya jamii na kusema kuwa ''aliamua kuachana na mume wake na kuamua kumtumikia mungu'' na hiyo ilikuja baada ya kuona mashabiki wake wakimuuliza sana na kumsihii aolewe ndipo alipoamua kujificha kwenye kimvuli cha kumtumikia mungu lakini nyuma ya pazia ni uongo mtupu bali ana msingizia Mungu.

Ikiwa mungu kwenye amri zake akisema kuwa usizini, na kuna baadhi ya mistari ya kitabu kitakatifu akihimiza kuwa ''nendeni duniani mkazaliane'' lakini mungu aliibariki ndoa na akaleta utaratibu maalumu kuwa mke na mume waoane, MUNGU wetu hakusema kuwa ''mwanamke au mwanaume avunje ndoa ili akamtumikie''

Ukimsikiliza Christina Shusho kwa jicho la tatu hoja yake ni batili kabisa mpaka unashangaa huyu anasoma biblia gani?? mbaya Zaidi anatumia umaarufu wake na kuanza kuiaminisha jamii kuwa zinaa ni bora kuliko ndoa sasa sijui anataka kutengeneza kizazi cha namna gani kizazi ambacho kitakua hakitaki ndoa bali kinataka zinaa tu

Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa Shusho hazini au hana mtu wa pembeni anayemsaidia haja zake hakuna kitu kama hicho, kwa tamko lake la kusema kuwa kaachana na mume wake na kuamua kumtumikia mungu huu ni ushetani unaohimiza zinaa kwa mashabiki wake wa nyimbo zake za kiinjili

Nitoe ushauri wangu kwa wadada/wanawake waliopo ndani ya ndoa na wanaotaka kuolewa wapuuzie upuuzi wa shusho kwani Mungu hakuandika kuwa mtu ache ndoa yake ili akamtumikie ila anachokifanya shusho ni kujificha tu ili asiulizwe na watu kwa nini unaishi single mother na wakati wewe ni mtumishi wa mungu?
amekua akidhihakiwa na masahabiki zake kwenye mitandao kuwa single muda wote na mashabiki huwa wanamua, mbia kuwa anazini maana ni ngumu kuwa single kwa binadamu uliyekamilika kwa muda hata wa mwaka mmoja.
 
Christina shusho aliibuka mbele ya jamii na kusema kuwa ''aliamua kuachana na mume wake na kuamua kumtumikia mungu'' na hiyo ilikuja baada ya kuona mashabiki wake wakimuuliza sana na kumsihii aolewe ndipo alipoamua kujificha kwenye kimvuli cha kumtumikia mungu lakini nyuma ya pazia ni uongo mtupu bali ana msingizia mungu
Mm nafikiri mzee ameshindwa kumkuna vizuri huyu mdada. Kwa hiyo nae, anatafuta faraja, sehemu nyingine. Upwiro si mzuri ndugu yangu hasa kwa, watu waliokuwa, ndani ya ndoa. Tumuache nae apate raha alizokosa, mwanzoni.

Kwa maongez yake tu sisi tuliosoma Cuba tunagundua tu kuwa, alikosa mtu sahihi wa, kumkukuna vizuri. Sasa amepata anayekuna upele mpaka raha.
 
Ni hatma za nyimbo zake za injili, kuna mteule ataendelea kusikiliza nyimbo zake au zitajumuishwa kwenye nyimbo za kidunia kwa kuwa muimbaji wake amepotoka? Kwa umri na wajihi alionao huyu dada hataweza kuishi bila mahusiano ya kindoa/mapenzi lazima atafanya tu, na hapa ndio penye utata wa maisha yake bila mume huku akiwa ni mchungaji, tena mchungaji mwanamke. Je ataweza kuishi kama mtawa bila kufanya mapenzi?
 
Pengine ukweli unaweza kukuta mumewe ndiyo tatizo. Labda kamfumania mara kadhaa au matatizo ya kiafya kwenye tendo la ndoa, n.k.
Inawezekana kuna siri kubwa Christina anamtunzia aliyekuwa mumewe ameona siyo vema kutamka hadharani shida ya mumewe akaona bora atafute sababu itakayo linda heshima ya jamaa.
Inawezekana Christina ndiyo mwenye matatizo Kama wengi wanavyo mtuhumu.
 
Mm nafikiri mzee ameshindwa kumkuna vizuri huyu mdada. Kwa hiyo nae, anatafuta faraja, sehemu nyingine. Upwiro si mzuri ndugu yangu hasa kwa, watu waliokuwa, ndani ya ndoa. Tumuache nae apate raha alizokosa, mwanzoni.

Kwa maongez yake tu sisi tuliosoma Cuba tunagundua tu kuwa, alikosa mtu sahihi wa, kumkukuna vizuri. Sasa amepata anayekuna upele mpaka raha.
Ni tamaa za kidunia zimemponza, ametawaliwa na pepo wa ngono
 
Pengine ukweli unaweza kukuta mumewe ndiyo tatizo. Labda kamfumania mara kadhaa au matatizo ya kiafya kwenye tendo la ndoa, n.k.
Inawezekana kuna siri kubwa Christina anamtunzia aliyekuwa mumewe ameona siyo vema kutamka hadharani shida ya mumewe akaona bora atafute sababu itakayo linda heshima ya jamaa.
Inawezekana Christina ndiyo mwenye matatizo Kama wengi wanavyo mtuhumu.
Angekaa kimya basi, huyu kapata mtu akamkojoza imekuwa shida, yeye akae kimya maisha yasonge. Akiendelea kuongea anajidhalilisha na watoto pia.
 
Maisha aliyochagua ni ya kwake mwenyewe. Kama kuna mwanamke atashawishika kuishi maisha kama ya Christina; hilo litakuwa ni tatizo lake binafsi.

All in all, maisha ya ndoa yana changamoto nyingi sana. Kumshambulia, au kumsimanga kwa maamuzi aliyochukua, bado haiwezi kusaidia chochote. Kila mtu ana haki ya kuamua kuishi maisha ayapendayo.
 
Huyo kulumbembe kakutana na Wazee wa kula tunda kwa masihara wakamramba sehem za kisime cha mmasai wakapita na tigo huduma kwa wateja wakamalizia na soko la katerero😂hapo hapo akaona maisha ndo haya nilichelewa wapi akingalia mmewe anampa pigo za kipaloko kichwa kimevurugwa yule mwacheni akija kuji factor reset mambo yalisha haribika
 
Back
Top Bottom