Mpuuzieni Christina Shusho, anatumika na shetani kuiaminisha jamii kuwa zinaa ni bora kuliko ndoa

da we jamaa fala sana....kisimi Cha kimasai??
 
Na wanawake wa kimanyema wanavyomwaga mengi......sipatii picha namna yule dada anavyomwagishwa maji dadadeeeeeqqqq!
 
Pale pa kumhukumu mwanadamu mwenzetu tujiangalie sisi tumesiamamia wapi? ndipo tumhukumu kiasi hicho. Na iwe heri kwa kila mwanadamu kuomba na kufanya toba kwa Muumba wake pasi kuhukumu nafsi ingine, kwamaana hakuna aliye msafi chini ya jua hili.
 
Sawa
Akae kimya....!
 
Huna akili.
 
Orodha ya wasanii wa injili wa kike walio achana na ndoa zao baada ya umaarufu:
1.Sarah Mvungi
2.Neema Mwaipopo (sipati picha)
3.Bahati bukuku (waraka)
4.Florah Mbasha
5.Janeth Mrema (Piga makofi)
6.Upendo Kilahiro (Mungu unaishi)
7.Angel bernard (siteketei)
8.Martha Mwaipaja
9.
10
11.

Ni kweli waimbaji wote hawa waliolewa na wanaume wabaya?

ANGALIZO:
Ukiwa na mke, mchumba ni mwimbaji asiye na jina. basi uhai wa mahusiano yenu yako mashakani umaarufu ukimvaa.

# KIJANA KATAA NDOA
 
9.Atosha kisava.(Kila mtu anasema u mwema ..)
10. Martha (huyu nimesahau jina lake pili,ukiacha huyo mwaipaja)
11.christina shusho mwenyewe 😬
 
Huyu dada hebu mpumzisheni! Hakuna kitu kibaya kama kuozeshwa. Asikwambie mtu tena ukiwa hujapata fahamu. Kajieleza alikuwa hajapenda aliozeshwa alivopata akili akaiacha ndoa. Umeshawahi ishi na mwanamke usiempenda? Hata nyumbani unaona mzigo kurudi sasa imagine umelazimishwa kuoa. Ni dhambi kubwa zaidi maana roho yako haiko pale na sio maamuzi yako hivo hata kama
Ubaki kwenye hio ndoa Mungu hatakuhesabia haki. Mungu ametupa free will na hatuhukumu pale tunapoamua kuitumia. Imeandikwa sio
Lazima kuolewa lakini kama umeshindwa kuvumilia oa. Sasa sielewi shida ni nini mnavyomuandama
 
HATARI SANA MKUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…