Mpya: Kikao cha Kamati Kuu Maalum ya CCM, inayokutana jijini Dar Es Salaam, Jumapili Septemba 01, 2024

Mpya: Kikao cha Kamati Kuu Maalum ya CCM, inayokutana jijini Dar Es Salaam, Jumapili Septemba 01, 2024

Venus Star

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
26,519
Reaction score
78,311
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu Maalum ya CCM, inayokutana jijini Dar Es Salaam, Jumapili Septemba 01, 2024.

1725199588285.png


1725199678367.png
 
Ulikuwa na miaka mingapi ulipogundua kuwa kirefu cha CHADEMA ni CCM HAIWEZI ANGUKA DAIMA ELEWENI MAMBO.

C- CCM
H- Haiwezi
A- Anguka
D- Daima
E- Eleweni
MA-Mambo

😂😂😂😂😂😂.

“The Do-Nothing Party"
 
Chama dola kongwe CCM, kilichojipatia sifa kubwa kama chama kinacho ogopa midahalo

TOKA MAKTABA :
August 2016
KINGUNGE AKIELEZEA HALI YA KISIASA NCHINI, CHINI YA UONGOZI WA CCM

View: https://m.youtube.com/watch?v=I4hg7XLmeP0
August 24 2016 Mwanasiasa mkongwe nchini, komredi ndugu Kingunge Ngombale-Mwiru amekutana na waandishi wa habari na kutumia nafasi hiyo kuwaomba wazee ambao walikuwa viongozi wakubwa kuanzia kipindi cha mwalimu mpaka awamu ya nne, bara na visiwani kuomba kukutana na Rais Magufuli wamuombe aitishe kikao cha mazungumzo kati ya serikali na chama kikuu cha upinzani CHADEMA.
 
"Hali ya nchi Tanzania ni ngumu, tete na ina utata (alisema Mzee Kingunge) ukitazama katika televisheni unaona askari polisi wanajiandaa kwa kujitokeza hadharani .... waziri wa mambo ya ndani .... wakuu wa mikoa na maDC wanatoa matamshi ya ubabe na vitisho ... "- hiyo ilikuwa mwaka 2016 miaka 8 iliyopita anasema Kingunge.
1725200742025.png

Picha: komredi Kingunge Ngombale-Mwiru

Maneno hayo ya miaka 8 iliyopita yanatokea kiaina 2024 ingawa kuna 4R na midahalo kukimbia, wanachama 500 wa CHADEMA kushikiliwa na polisi siku ya Vijana Duniani , watu kuteka, kutupwa msituni Katavi Mpanda...
 
"Hali ya nchi Tanzania ni ngumu, tete na ina utata (alisema Mzee Kingunge) ukitazama katika televisheni unaona askari polisi wanajiandaa kwa kujitokeza hadharani .... waziri wa mambo ya ndani .... wakuu wa mikoa na maDC wanatoa matamshi ya ubabe na vitisho ... "- hiyo ilikuwa mwaka 2016 miaka 8 iliyopita anasema Kingunge.
View attachment 3084368
Picha: komredi Kingunge Ngombale-Mwiru

Maneno hayo ya miaka 8 iliyopita yanatokea kiaina 2024 ingawa kuna 4R na midahalo kukimbia, wanachama 500 wa CHADEMA kushikiliwa na polisi siku ya Vijana Duniani , watu kuteka, kutupwa msituni Katavi Mpanda...
CHADEMA bhana!!! 🤣 🤣 🤣 🤣
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=Jpvb_4DZO0c

Yawavua nafasi za uongozi mwenyekiti wa CCM wilaya ya Bagamoyo ndugu Abdusharifu Zahoro na pia mwenyekiti wa jumuiya ya UWT mkoa wa Lindi bi. Palina Ninje kwa kukiuka maadili ya uongozi


1725211213734.png

Picha : mwenyekiti wa chama hicho, Wilaya ya Bagamoyo, Abdusharifu Zahoro


Mwenyekiti wa Jumuiya ya CCM ya UWT ndugu Palina Ninje

1725211707902.png
 
TOKA MAKTABA:

29 February 2024

MWENYEKITI UWT MKOA WA LINDI PALINA NINJE KIKAANGONI


Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Lindi kimemuita kwenye kikao cha Maadili Mwenyekiti wa UWT Mkoa Lindi Palina Ninje kwa kukaidi maamuzi ya vikao vya Halimashauri kuu ya ccm mkoa wa Lindi Akizungumza na waandishi wa Habari Mjumbe wa Halimashauri mkuu ya ccm Taifa Daudi Msungu amesema maamuzi hayo yamefikiwa baaada kikao vya chama kuketi Kwenye ofisi ya chama hicho mkoani Lindi


View: https://m.youtube.com/watch?v=eQFgZX-b8DA
 
Kikao hiki chepesi ndicho kilichomfanya katibu mkuu balozi Dr. Emmanuel Nchimbi kukimbia mdahalo wa makatibu wa vyama vya siasa Tanzania!
 
Mliobahatika kufuatilia hiki kikao, walikuja na maazimio gani?
 
Back
Top Bottom