- Thread starter
- #21
Ndio sababu ya kuanzisha hii company ili kuifanya iwe biashara yenye tija na kuweza kuleta faida kwa wenye magari na madereva pia asanteHii biashara niseme tu ni kichefuchefu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio sababu ya kuanzisha hii company ili kuifanya iwe biashara yenye tija na kuweza kuleta faida kwa wenye magari na madereva pia asanteHii biashara niseme tu ni kichefuchefu...
Ukisoma vizuri nikichoandika utakiri kuwa nami hakuna sehemu niliyotaja pesa,neno pesa umeandika wewe na nahisi linaakisi mawazo yakoNafikiri hakuna sehem inahusisha pesa kwenye huu uzi. Nahisi tunaweza comment kitu bora Zaid ya hiki au hata kuuliza swali kwa manufaa yako na wote asante
Samahani labda nikupishana kwa uwelewa na asante kwa mawazo yakoUkisoma vizuri nikichoandika utakiri kuwa nami hakuna sehemu niliyotaja pesa,neno pesa umeandika wewe na nahisi linaakisi mawazo yako
Na ukirudi kusoma pia ukichoandika mwanzoni mwa makala yako,moja ya madhimuni ya biashara yako ni kumuhakikishia mwenye gari kupata au kuongeza kipato(pesa) sasa unakataaje kuwa maudhui yako hayahusiani na hayajataja pesa
Ila tangazo na nia yako ni nzuri na utawasaidia wengi wenye uhitaji na ningekuwa na hiyo biashara ningekufuata kwa hiyo huduma....mwamba piga kazi
Kama ukoo wa panya na panya bukuMadereva mnawatoa sayari gani?
Dereva wa uber, bajaji na bodaboda baba yao mmoja na mama yao mmoja.