Mpyaa

kategile

Member
Joined
Dec 25, 2014
Posts
18
Reaction score
1
EXCLUSIVE LEO USIKU KATIKA MICHEZO NA BURUDANI.

Wana- Nkurukumbi Kagera Sugar yawasimamisha Mlinda Mlango Husein Shariff pamoja na Beki wa kati Erick Charles wakiwahusisha na upangaji wa Matokeo kufuatia kipigo cha Mabao 6-2 Kutoka kwa Yanga.
 
MAN U wamekula 4 juzi, wamemsimasha nani? Blind? Wacha tuendelee kupiga ramli.
 
hawa wa leo itabidi wawasimamishe wachezaji wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…