Mr. Blue acha kujikweza

Eti unasemaje kwamba katika top ten Mr Blue ayupo???? Labda yule Mr Blue wa kwenye ukoo wenu lakini sio yule wa micharazo nigga is a king
 

Angekua krb ungempa kofi kabisa, shenzy zake🤣🤣🤣🤣
 
Sasa Mimi sijakuelewa manake kwanza umesema huyo msanii wala siyo Star na hata wakiitwa mastaa watoke yeye hawezi kutoka,halafu kwenye maelezo yako hayo hayo mbele umesema "imefika pahala ananata mpaka kwa mastaa wenzake". Ndio nini sasa au hujui unachokiongea!?
 
Beyonce hata mmewe hajamfollow..kwaiyo anajikweza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…