Mr. Blue acha kujikweza

Alichokutana nacho mleta mada ndio kile kipigo cha mbwa koko!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ameukimbia Uzi hatimaye anachagua comment za kujibu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaha we kaka hata bure sikupendii umbea mwingi babu
 
Tafuta Show ya Blue Ndo utajua Kama ni supastaa au ni GOAT
 
Acha shobo!! Ila nahisi ni kwa sababu ameacha kuvuta bangi! Bangi si inamfanya mtu anakuwa humble? Anakuwa down.peace and love kwa masela na wana I n I fasta!! Labda ndomana ana wenge
 
Kawa ndugu yako tena?

Hebu rekebisha hapo msije mka share tabia😂😂😂
 
Mr blue ni legend sio superstar
 
duuh jamaa wewe unapiga za uso kama Tyson
 
Wewe beki tatu wa Diamond tumekuchoka sasa kha!
 
Nilifikiri umekutana naye kisha ukamsalimia na akakukaushia.
 
Wasafi miyeyusho, kafanya jambo la maana sana kuwa-unfollow
 
Maisha ya mitandaoni ni tofaut na maisha halisi. Mr. Blu halisi hayupo km unavyodai wewe, ni mtu poa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…