Mr Blue (baycer) the special thread


Hahahaaaa inaonekana alikasirika balaa....
 

Hatuna haja ya kufanyia video south Africa tunafanyia hapa hapa bongo tu then inakuwa bonge la video
 
Hii ni kwa mashabiki wote wa huyu msanii wetu tuje tuungane kwa pamoja ww ni kama shabiki wa mr blue a.k.a baycer karibu kundini

Dogo anajua sana album yake kwanza uliwahi kuimiliki??
 
Hapana mkuu,unayo nn?

Nilikuwaga nayo enzi za cassete mwaka 2004 ni moja kati album nzuri kibongobongo nyimbo kama mapozi, kiss, Mr blu ,hiphop, na moja alifanya na Noorah ni za ukwli kinoma
 
Nilikuwaga nayo enzi za cassete mwaka 2004 ni moja kati album nzuri kibongobongo nyimbo kama mapozi, kiss, Mr blu ,hiphop, na moja alifanya na Noorah ni za ukwli kinoma

Blu alitoa album yake ya kwanza akiwa na miaka 16 tu ila midude iliyomo mule watasubiri sana yaani alikuwa kama drake anaimba na anachana sema chuki za wabongo kwa vile alikuwa anapendwa na mademu mkamuanzishia majungu mpaka kikosi cha mizinga kwenda kumtolea posa
 

Hahahaha mkuu hapo umeuwa
 
Yaaani mpaka sasa hivi sijajuwa kwa nn wasanii wengi wa bongo wanafanyia video zao nje kwa mfano ndomo location za South Afrika ina maana bongo location zimeisha ama?
 

naikumbuka hii ya kutolewa mahari ila bluu yule wa mapozi,sema sijui starudi lini
 
Mr Blu kafanyiwa bureee video ya PESA

“Adam Juma from nowhere, ni mtu ambaye
sikuwahi kufikiria nitafanya naye video.
Nilishajaribu kutaka kufanya naye lakini
mipango ikawa haikamiliki. Alinipigia simu
mwenyewe namshukuru sana Adam Juma
na Mungu akusaidie kwa kunipa video bure
kabisa! Yaani video kila kitu bureee kabisa.
Mimi nasema kuishi na watu kwa upendo
ndo zimefanya hivyo ninaweza kusema ni
zawadi.”
 
Blue enzi hzo bana! Sasa anafunikwa mpaka ns maunderground!

Ulikuwepo FIESTA pale leaders? Mi nilikuwepo, nakupa ushuhuda kwamba japo Mr.Bluu hasikiki redioni kama zamani but still anapendwa sana, alipopanda stage aisee alipata shangwe za hatari sikuamini. Anyway maunderground gani wanaomfunika? Maana sikuile kulikuwa na mastaa wakubwa bongo walio hot kwa sasa but aliwapoteza alipopanda jukwaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…