Huyo Mo rocka kuna siku nilikutana nae mitaa ya sinza,
Mimi nilikua na mishe mishe zangu natafuta bodaboda ili niwahi mara naona jamaa anapita na bodaboda yenye namba nyeupe huku amevaa vesti, mimi sikumjua nikamsimamisha kwa makelele kabisa, badabodaaa! Kajamaa kakageuka kakaniangalia kwa dharau kisha kakaondoka.
My take: mastaa jaribuni kujiweka katika muonekano walau wa tofauti kidogo.
Hahaaaa uwe unatumention basi jamani hivihivi hatuoni hadi tupitepite...lol
Anyways,namkubali sana msela wa kino ana swaga flani hivi za kinyamwezi sitaki kukumbuka enzi za blue blue,mapozi....
Zaidi ni hii video yake ya pesa namuona Kiba pale...hatari sana
Coco beach naona pale
Hatuna haja ya kufanyia video south Africa tunafanyia hapa hapa bongo tu then inakuwa bonge la video
Hii ni kwa mashabiki wote wa huyu msanii wetu tuje tuungane kwa pamoja ww ni kama shabiki wa mr blue a.k.a baycer karibu kundini
Hapana mkuu,unayo nn?
Nilikuwaga nayo enzi za cassete mwaka 2004 ni moja kati album nzuri kibongobongo nyimbo kama mapozi, kiss, Mr blu ,hiphop, na moja alifanya na Noorah ni za ukwli kinoma
Blu alitoa album yake ya kwanza akiwa na miaka 16 tu ila midude iliyomo mule watasubiri sana yaani alikuwa kama drake anaimba na anachana sema chuki za wabongo kwa vile alikuwa anapendwa na mademu mkamuanzishia majungu mpaka kikosi cha mizinga kwenda kumtolea posa
Acha uwongo blue hadi kesho bangi kama kawa ...!
Njoo bonde la mchicha .
Hahahaaaa inaonekana alikasirika balaa....
Blu alitoa album yake ya kwanza akiwa na miaka 16 tu ila midude iliyomo mule watasubiri sana yaani alikuwa kama drake anaimba na anachana sema chuki za wabongo kwa vile alikuwa anapendwa na mademu mkamuanzishia majungu mpaka kikosi cha mizinga kwenda kumtolea posa
Blue enzi hzo bana! Sasa anafunikwa mpaka ns maunderground!