Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Huyo Mo rocka kuna siku nilikutana nae mitaa ya sinza,
Mimi nilikua na mishe mishe zangu natafuta bodaboda ili niwahi mara naona jamaa anapita na bodaboda yenye namba nyeupe huku amevaa vesti, mimi sikumjua nikamsimamisha kwa makelele kabisa, badabodaaa! Kajamaa kakageuka kakaniangalia kwa dharau kisha kakaondoka.
My take: mastaa jaribuni kujiweka katika muonekano walau wa tofauti kidogo.
Hahahaaaa inaonekana alikasirika balaa....