Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika aiseeMpaka wakiristo wenyewe wanashangaa
Kuna madawa ya kiasi kwaajili ya kuhifadhia miiliKabla ya ujio wa mochwari zenye majokofu,walikuwa wanatunzaje maiti kwa miezi 3 zamani
Anateswa!? Kwa hiyo anapata maumivu!?Mila za ovyo kweli,siku zote hizo mnamtesa mtu kwenye mafriji
BAridi ya kwenye jokofu unaichukuliajeAnateswa!? Kwa hiyo anapata maumivu!?
Jamaa wamemzika ndani ya nyumba katikati ya sebule. Sijui ili wasiuze nyumba au ndio wosia alioacha!baba hajafa bado mtoto wake wakike hela bank Noma sana hakumjali hata kidogo ila alitaka hela zake