Mr Ki akumbatia bomu rasmi

Mr Ki akumbatia bomu rasmi

Kuna methali ya kimombo inasema "A happy man marries the girl he loves; a happier man loves the girl he married" sasa ndugu yetu kaingia cha kike tayari. Tumetulia pembeni tukisubiri yamkute ya Ndikumana
Unamkosea sana mwanaume mwenzako.
1. Ki ni mwanaume na ana uwezo wa kumpenda yeyote.
2. Hamisa ni mwanamke na awezapendwa na me yeyote.
3. Wewe waombee ili wadumu Kwa ndoa Yao.
4. Shukuru dadako kupata soko la kimataifa.

Acheni ushabiki wa mpira kwenye mapenzi.
 
images-3.jpeg
 
Dogo Aziz kaingia cha kike

Ndoa haijawahi kumbadilisha malaya aache umalaya na kuwa mke wa maana

Acha tapeli azichune pesa zake za Yanga
Coming from mchukia wanawake not surprising… mlitaka mmumchune nyie?! Pumbafu
 
  • Thanks
Reactions: ABJ
Back
Top Bottom