M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Sikuzote mchawi ndiyo tabia yake...Tumetulia pembeni tukisubiri yamkute ya Ndikumana
Wivu ukizidi ni uchawi 😛🥱Kuna methali ya kimombo inasema "A happy man marries the girl he loves; a happier man loves the girl he married" sasa ndugu yetu kaingia cha kike tayari. Tumetulia pembeni tukisubiri yamkute ya Ndikumana
Unamkosea sana mwanaume mwenzako.Kuna methali ya kimombo inasema "A happy man marries the girl he loves; a happier man loves the girl he married" sasa ndugu yetu kaingia cha kike tayari. Tumetulia pembeni tukisubiri yamkute ya Ndikumana
Wanakosea kuwafuatafuta,ila ikitokeaga ninyi wapingaji ndio mnasemaga tulisema sisi.Angalizo ni mhimu.Azizi k paid his own money to get the kind of a woman he wants,
then suddenly a non paid analyst appears, to criticize and condemn him😂🙄
Coming from mchukia wanawake not surprising… mlitaka mmumchune nyie?! PumbafuDogo Aziz kaingia cha kike
Ndoa haijawahi kumbadilisha malaya aache umalaya na kuwa mke wa maana
Acha tapeli azichune pesa zake za Yanga
HeheheSikuzote mchawi ndiyo tabia yake...
Husubiri na kufurahi wengine wakipata matatizo mkuu.... hivyo si jambo geni mjini
Kama alivyoingia Rais wa ChinaDogo Aziz kaingia cha kike