Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

Me naona cha muhim ni watanzania kuwa na subira kuliko kuanza kutoa shutuma za utapeli juu ya Mr kuku, maana katika mashtaka aliosomewa hakuna shitaka la kushindwa kulipa wawekezaji wake, na pia kama biashara watamfungia basi inabid waifungue account ya crdb ili iweze kurejesha pesa za wawekezaji maana zile pesa za umma
VP DECI hazikuwa pesa za umma mbona hatujalpwa mpaka Leo?

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom