Mr. Mshana popote ulipo, tafadhali saidia hili

Peleka ujinga wako huko hata Hujielewi unachokitaka huku
 
h
Wewe jamaa , kwanini unam stress mwenzako ?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
uyu jamaa huwezo wa kunistress hana mkuu huyu jamaa anajidanganya anadhani kila mtu ni Sukuma twende ,yahani ukiulizwa jua liko maghalibi wakati liko kusini wasema ndio wakati hata kuliona hujaliona
 
🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓
 
Peleka ujinga wako huko hata Hujielewi unachokitaka huku
nashindwa nitumie neon gani mahana matusi sio hulka yangu bali we jamaa usipende jitafutia laana zisizo kua na sababu maana huwa mwajidanganya kwamba lazima laana itoke kwa wazazi wako waliokuleta hapa duniani but zipo zingine kupitia hapa wazipata live bila chenga imeandikwa na yaweza kua mda wowote nakusihi achana na matusi yasio kua na sababu mkuuu
 
Dogo umetisha kinoma noma
 
Nenda PM. Acha kujishogodoa hapa. Kuandika kwenyewe hujui pheeew
do yaan una mambo, sinaga hobi ya matusi mkuu na sitojaribu maana najua why niko hai ni mapenzi yake alienileta dunian but elewa leo uko hai ipo siku utafumba macho utazikuta huko kablasha zako ,si wajiona jeuri sana na unaambiwa husikii na kwa sababu waendesha AUD ,tena ya kiasasa Zaidi siku zako zaja mkuu
 
Makengeza
nami nanena, hacha yawe makengeza siku zaja asema bwana , japo sijaanza mtumikia katika maagizo yake mungu atachimbua passipo kua na maji nayatakua maji mengi na pasipokua tanzanite zitazaliwa sana
 
Jamani sijawahi kumuignore MTU lakini @ Numbisa SMS Zake zinakuja na message ya kuignore au ni yeye ndio kaniblack list? Mie sina shida na kiumbe yyt WA Mwenyezi MUNGU nisaidieni.
 
Kwa style hii kuiondoa madarakani ccm ni ndoto. Wapiga kura ni aina ya mleta mada kila mtu kwake ni nabii
Hongera sana kama umemwelewa.
Mimi wacha nichomekee neti kwanza
 
Jamani hivi lugha aliyotumia mtoa mada ndio kipare?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…