Mr. Nice amefulia yu hoi Taabani

Alishafulia siku nyingi huu ni mwendelezo tuu.

Na baaaaado si alizani Dunia imeganda haizunguki, na atakoma inawekekana akafulia mazima sababu takeu style haina soko na watoto wanapenda miziki ya wakubwa sasa hivi
 
Jamani mbona anaonekana mgonjwa??? Redfaces::redfaces:
 
jamaa sio mida hii juzi kati tulikuwa naye chobingo moja mchizi anatia huruma


Well mwambie achekeche akili arudi kivingine,hata musician mega stars,wanafanyaga 'come back' na kuendelea vizuri tu,asivunjike moyo.
 
Sio kosa lake maana watoto aliokuwa anawaimbia wameshakuwa wakubwa sasa.
 
Kikulacho kumbe kinguoni mwako rafiki yako ndiye adui yako moja ya mashairi yake hayo
 
Na rafiki yake dudu baya yuko wapi?
 
Halafu picha zinazoletwa hapa ni za ben kinyaiya???yeye ni shushushu nini?
 
Si bure... atakuwa anaumwa huyu jamani. Tusifanye mzaha kwenye hili. Tunaomba wale walio na taarifa watujuze.. Hiyo hali kwenye picha inaonekana kama anasumbuliwa na kaugonjwa fulani....
 
Si bure... atakuwa anaumwa huyu jamani. Tusifanye mzaha kwenye hili. Tunaomba wale walio na taarifa watujuze.. Hiyo hali kwenye picha inaonekana kama anasumbuliwa na kaugonjwa fulani....

thats affirmative
 
Si bure... atakuwa anaumwa huyu jamani. Tusifanye mzaha kwenye hili. Tunaomba wale walio na taarifa watujuze.. Hiyo hali kwenye picha inaonekana kama anasumbuliwa na kaugonjwa fulani....
Umempimaa? Watu wengine bwana, mnapenda kuhukumu watu wakati nyie wenyewe hata kupima hamjawahi. Kwa taarifa yako 4.5% ya watanzania wana kubwa kwa hiyo acha kunyooshea vidole wenzako jilinde na wajali na kuwapenda wanaoumwa. Na pia gonjwa alipimwi kwa macho bali kwa vipimo vya maabara. Mmekalia umbea tu
 
Hivi mbona naona kama instead ya kusikitika watu kama vile wanashangilia.......

Kama Mr Nice anapitia anga hizi au kuna mtu anamfahamu amwambie kwamba really character is shown not when you are on top.... But when you are down and you have the strength to get up and carry on......

Na kwa wale ambao bado wako kwenye Game wakumbuke maneno ya Eminem.....
You better lose yourself in the music,
the moment You own it, you better never let it go
You only get one shot, do not miss your chance to blow
This opportunity comes once in a lifetime yo,
 
Si bure... atakuwa anaumwa huyu jamani. Tusifanye mzaha kwenye hili. Tunaomba wale walio na taarifa watujuze.. Hiyo hali kwenye picha inaonekana kama anasumbuliwa na kaugonjwa fulani....

Hapo kwenye red sijakuelewa, hivi kama anaumwa yeye ni mtu mzima atashindwa kwenda hospitali kweli mpaka wanaJF wote tushirikishwe jamani, eti unataka taarifa haya.....
 
Pole sana mr Nice if u r ths down...Ben pls bring him up some..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…