Siwezi kumuonea wivu maskini
Acha dharau,weka yako yenye kiwangoNilijua tu ile kuonekana kwenye kideo cha Harmonize ni njia ya kurejea upya maskioni mwa watu, soon utasikia ametoa wimbo. Halafu nitakuwa wa mwisho kuamini hiyo nyumba ni ya Mr. Nice, japo haina kiwango ila kwa akili ya huyo jamaa hawezi kuwa na nyumba hata hiyo, labda itakuwa ya huyo mamaake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kataa usikatae ,hicho ni kibanda cha kufugia kuku,
Sasa hiyo nayo nyumba aliyostahili kuwa nayo nice?
EbwanaeeMr.Nice akaunti yake ilishawahi kugonga 1 BILION........leo ndio anaishi hivi inasikitisha sana
Kwahiyo mnaona ndio alistahili.kuwa na nyumba hiyo?Mnawatazamaga watu juu-juu alafu wakifunguka mnaishia kuumia roho namna hii.
Wivu hukaa kifuani kwa mtu mjinga.
Kwahiyo mnaona ndio alistahili.kuwa na nyumba hiyo?
nYaNi wA KaLe
Atawadanganya washamba wenzie kama wewe
Hata hivyo bado, kwasababu, hakupaswa kuishi na banda LA kuku katika nyumba yake.
Lift mwisho wake ni kutuma salam[emoji2]
Sent from Calculator Phone vesion007