Rumi96
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 818
- 1,975
Wakuu!
Leo nilikua YouTube kutazama nyimbo za Mr Nice!, jamaa hamna kitu, makelele mengi kama mlevi.
Arudishe bando, mpuuzi yule, nadhani Kameta ndiye alitakiwa amiliki nyimbo, sio hili li jamaa, wimbo wa first lady linabweka bweka mbele ya demu mzungu.
Ndiyo maana umepotea! Majivuno tu. Umemponza hadi Alikiba, anajikuta msanii wa ulimwengu.
Pesa zilishaisha.
Leo nilikua YouTube kutazama nyimbo za Mr Nice!, jamaa hamna kitu, makelele mengi kama mlevi.
Arudishe bando, mpuuzi yule, nadhani Kameta ndiye alitakiwa amiliki nyimbo, sio hili li jamaa, wimbo wa first lady linabweka bweka mbele ya demu mzungu.
Ndiyo maana umepotea! Majivuno tu. Umemponza hadi Alikiba, anajikuta msanii wa ulimwengu.
Pesa zilishaisha.