Mr. Nice hoi taabani Kahama mjini

2005 alitumika kama kondomu leo ndio tumsaidie? haiwezekani, amesababisha madhila mengi..apelekewe zile bajaji zimtoe kahama mpaka Bugando
We need Marlow where are you? 2010 Na wimbo Wa pipi piiip wapinzani
 
arudishe kwanza kadi ya ccm ndipo tumpe msaada


hii ni roho chafu sana na mungu akusamehe sana, wala mungu asitufikishe huko watanzania wenyewe kwa wenyewe kufikia kwamba hatusaidiani kwenye mambo ya jamii kisa siasa, hapo ndo mwisho wako wa kuwaza kweli bora ungekaa kimya, hata mungu hayuko radhi kwa hili.
 
Mzee wa kidali po...hajatoka hospitali bado?
 
wacha zako wewe alichotupa tulishamlipa zamani kwa kuhudhuria shw zake a kununua kazi zake!na alichopata alitumia vizuri kutuchukulia mademu zetu!hatudai fadhila zozote kwake!
 
haiwezekani awaingizie faida wengine.....anaumwa mimi niingie gharama za kumtibu
bado mabosi zake ccm wana hela mingi nadhan hawatashindwa kumtibia huyu jamaa
 
huu ndio unafki wenyewe....lazima tuwe wakweli daima kwamba bosi wake ingali bado ana uwezo mkubwa (ccm)
yeye kidalipo alipata hela akawa anawatoboa dada zetu.

akifa ndio nitamsifu...kwa kuwa si utamaduni wetu kuisema maiti
 
Ujamaa was MWALIMU Nyerere unatuzoesha vibaya yaani watu wakiwa na fedha wanakula bata tu na watoto wakali km vile hakula kesho zen wakifulia et wachangiwe !!! Tunazoeshana vibaya kila MTU atakufa na ujinga wake
Hakuna kuoneana noma
 
Hivi mwaka huu hawakumchukua!!jamani ccm wana laana!
 
Ujamaa was MWALIMU Nyerere unatuzoesha vibaya yaani watu wakiwa na fedha wanakula bata tu na watoto wakali km vile hakula kesho zen wakifulia et wachangiwe !!! Tunazoeshana vibaya kila MTU atakufa na ujinga wake
Hakuna kuoneana noma

Kweli kabisa jamaa yangu umesema sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…