maisha nikama mbio ndefu,atuangalii spidi ya kuanza,tunaangalia unamaliza vip
Huo ndio usemi wangu wa maisha, Asante kwa kunikumbusha tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maisha nikama mbio ndefu,atuangalii spidi ya kuanza,tunaangalia unamaliza vip
Banza,mke wa Choki ,madinda na Baba Diana wote chali ... Na sasa Mr Nice taabani .Hatari sana hiiwangap hapo tayari
Pole sana wadau....
Ila nakumbuka CCM ilimtumia sana 2005 kwenye kampeni zao, saizi wamemsahau duuuh
Kila siku huwaga nasema, wasanii wa Bongo muache kutumika kama taulo,ambalo hukumbukwa tu wakati wa kuoga.
2005 alitumika kama kondomu leo ndio tumsaidie? haiwezekani, amesababisha madhila mengi..apelekewe zile bajaji zimtoe kahama mpaka Bugando
Na mimi pia mkuu,Naishi jirani na hiyo dispensari ila sikuwa na habari
Kwenye mambi ya ugonjwa siasa tupa kule. Ningekuona wa maana kama huu ujumbe ungempa baada ya kumsaidia ili wengine pia wapate fundisho! Kwanza unajuaje huenda hata sasa hivi alikwisha hamia UKAWA. Msilete justification zenu za kutotaka kumchangia. Kama hutaki kumsaidia potezea sio kuleta mambo ya kijinga. Anayehusika/ mod hebu weka namba tunaotaka tutamchangia.
Ni noma kweli kweliBanza,mke wa Choki ,madinda na Baba Diana wote chali ... Na sasa Mr Nice taabani .Hatari sana hii
2005 alitumika kama kondomu leo ndio tumsaidie? haiwezekani, amesababisha madhila mengi..apelekewe zile bajaji zimtoe kahama mpaka Bugando
tusiangalie alitumia na nani ila tuangalie alituburudisha vipi. hadi watoto waliimba kuku kapanda baiskeli na bata kavaa raizoni. leo yeye kesho sisi. mtoa mada atoe namba ya sm ya mr. nice watu watoe misaada. mr. gadner abash simamia game homeboy wetu arudi kwenye game.
Mwonee huruma sio kumnangaBanza,mke wa Choki ,madinda na Baba Diana wote chali ... Na sasa Mr Nice taabani .Hatari sana hii
Msanii wa kizazi kipya Mr.Nice amelazwa ktk dispensary ya Frorida mjini kahama...Ndugu jamaa na marafiki tunaomba msaada wenu kwani hata kula anakula kwa mpira na choo pia anatumia mpira..fika dispensary ya Frorida mtamkuta...
Mlio karibu na hospital tafadhali tukamjulie hali pia namba ya m pesa ikiwekwa tuchangie haitakua vibaya.
Pole Mr. Nice Mungu akujaalie upone haraka