Mr NiceπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ TZ baba lao East AfricaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Unapokufa haujui kama umekufa, maumivu huwa wanasikia watu wengine.

Haina tofauti kabisa na kuwa fala au mjinga.[emoji18]
 
mbona anaelekea kuwa anatisha?? tatizo ni nini ??
 
Bora ya hivi kuliko kulamba midomo na kubinua macho kama Diamond..
 
Hawa Polisi wa Uganda hawana kazi ya kufanya.
 
1. Range Rover kakodi sio yake[emoji16]
2. Kamlipa posho mkuu wa kituo apewe escort na polisi[emoji3]
3. Kamuita Millard Ayo ampaishe[emoji3][emoji16]

Yote hii ni kutaka kuwaaminisha watz kwamba mambo yake bado safi, ila kiukweli jamaa kachoka hapo bado anayaota maisha aliyoishi huko nyuma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…