Mr Nice wasanii waache unafiki hela niliyopata kipindi kile bado ninayo, awashauri wasanii

Hahaaa blazaaa .pambana na hali yako[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mr. Nice ni msanii wa kwanza Tanzania kushika shilingi milioni moja ya pamoja, na ya kwake mwenyewe. Kabla ya hapo walikuwa wanaimba wapate mademu tu.
Kawafunua sana nao sasa wanamfumua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…