Whether we like it or not, Mugabe is just a liability na ni watu kama yeye wanazidi kutufanya Africans tuonekane PUNGUANI! Why hold elections if you are not ready to release results or accept defeat? Only in Africa! Swala la JK nadhani inabidi tuliangalie kwa mapana. JK ni mwenyekiti wa AU! sasa kutolea tamko Dar haitasaidia, inabidi aonekane to be walking the walk. AU needs to be serious, waachane na siasa za kulindana. Kama kweli Africa wants to be relevant! WE ARE BEGGARS! YES WE ARE!
It is the same JK na Mbeki jana walikuwa wanaomba pesa za kumaliza migogoro Africa kutoka kwa mataifa makubwa, sasa najiuliza, hiyo migogoro watu kama wanaogopa hata kuiongelea, ndo itamalizwa na pesa? Africans we should WAKE UP! you cant say Bush and Brown are bad people, wakati uko busy unawaomba pesa za kusolve matatizo yako (hapo hujaongelea njaa na wakimbizi wanaoishi makambini wakitegemea hisani za USAID na wenzake)! Kweli sisi ni punguani! Angalia Darfur, Somalia, Congo, Kenya....viongozi wa Africa wanaogopa kunyosheana vidole. Harafu tunalalamika kwama US na EU are not helping us! Are we real?
Listen: we either (few of African elites) continue living in the west enjoying their developments as slaves while the masses on the continent perish as fools and hopeless creatures or we ALL join forces to battles these corrupt and stupid leaders we have in our countries!. We cant continue with these kinds of politics za kinafiki na kulaumu watu kwa matatizo na ujinga wetu wenyewe! Jukumu ni gumu, but it is high time we start and we have to start from somewhere. Siasa za matumbo yetu haziwezi kutufikisha popote. Iam sure jana Bush na Brown wakati wanaongea na viongozi wa Africa (kama walipata hiyo nafasi) walikuwa wanajiuliza kama kweli wanaongea na watu au majangili!!