Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwezi wa 9 napata kiasi cha mil 8 sasa nataka nijaribu biashara ambayo itayofanya nisijutie kuiterekeza hela yangu hiyo.NAOMBENI MSAADA WA MAWAZO WAPENDWA,NDUGU WANA JF.
mkuu maelezo uliyotoa hayatoshelezi kwa wewe kupata ushauri wa kukusaidia sana hapa. labda kama haupo serious ama unatest upepo ili ukizikamata izo ela ujue pa kuanzia. kama upo serious weka taarifa za muhimu mfano unapatikana wapi na hata vitu unavyopendelea ili uweze kuchauriwa vizuri.
hapo kwenye red; kama unataka KUJARIBU utajaribu sana na hutopata matokeo mazuri.
Mwezi wa 9 napata kiasi cha mil 8 sasa nataka nijaribu biashara ambayo itayofanya nisijutie kuiterekeza hela yangu hiyo.NAOMBENI MSAADA WA MAWAZO WAPENDWA,NDUGU WANA JF.
Nipo Dar nasema kujaribu kwa sababu kuna kufail
Mwezi wa 9 napata kiasi cha mil 8 sasa nataka nijaribu biashara ambayo itayofanya nisijutie kuiterekeza hela yangu hiyo.NAOMBENI MSAADA WA MAWAZO WAPENDWA,NDUGU WANA JF.
Fuga kuku wa mayai
Kwanza, hawafi hovyo kama wa nyama
Pili, wana faida mara mbili, kwanza utauza na kula mayai then at last wakikoma kutaga utawauza kama kitoweo
Tatu, hawahitaji mtaji mkubwa, unaweza kuanza na mtaji wa 2M