ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,040
- 7,303
Mwezi wa 9 napata kiasi cha mil 8 sasa nataka nijaribu biashara ambayo itayofanya nisijutie kuiterekeza hela yangu hiyo.NAOMBENI MSAADA WA MAWAZO WAPENDWA,NDUGU WANA JF.
Mwezi wa 9 napata kiasi cha mil 8 sasa nataka nijaribu biashara ambayo itayofanya nisijutie kuiterekeza hela yangu hiyo.NAOMBENI MSAADA WA MAWAZO WAPENDWA,NDUGU WANA JF.
Fuga kuku wa mayai
Kwanza, hawafi hovyo kama wa nyama
Pili, wana faida mara mbili, kwanza utauza na kula mayai then at last wakikoma kutaga utawauza kama kitoweo
Tatu, hawahitaji mtaji mkubwa, unaweza kuanza na mtaji wa 2M
kwani we unasubiri shilingi ngapi? Acha dharau we mbwa unaezitamani hela zangu.Ni ujinga kuwa na chuki na mtu ambae hata hunjui na wala hujawahi kumuona.TO HELL KAMA VIPI Marcopolo
Basi mwenye wazo ajitokeze si ndiyo umuhimu wa forum au.