Mradi wa Bagamoyo ulitakiwa uanze kabla ya Bwawa la Nyerere, Rais Samia umetuheshimisha

Sasa hivi tuko vizuri mkuu!

Mama anatupeleka vizuri baada ya dhalimu wako kufariki
Hata ktk mikataba ya madini awamu zilizopitaa tuliambiwa hivyo hivyo hadi Magufuli alipoipitia upya
 
Sasa una bwabwaja kitu gani?

Hao wachina ni babu zako kwamba wanakuhurumia sana?
Yule aliyeupinga huo mkataba mbona hakuwawekea hadharani muustaajabu kama siyo fiksi zake?
 
Mama hataki dhulma.

Hatuna shida na mkataba maana hata yule dhalimu hakutuonesha mkataba wa ununuzi wa ndege, SGR, mwendokasi, ujenzi wa barabara na madaraja, flyover, stigilazi goji, ujenzi mjibwa chato, n.k
Ati EEE? Msifieni Tu huku mnamlamba kisogo
 
Leo katika taarifa ya habari ya Channel Ten nimemsikia Rais mtarajiwa wa awamu ya tano Ngoyai Lowassa akisema kwamba Serikali yake itaangalia jinsi ya kuuvunja mkataba wa bandari ya Wachina Bagamoyo.8

Amesema haoni mantiki ya kutumia mabilioni kujenga bandari moja Bagamoyo wakati bandari za Tanga na Mtwara ziko ovyo.

Kama kawaida wananchi wa Tanga wamesema kura zao zote ni kwa UKAWA na adui CCM lazima asome namba mwaka huu.

VIVA UKAWA!
 
Halafu kuna watu mpaka ss hivi bado wanaendelea kumwamini sijui aliwalisha nin,mmojawapo alieshindwa kuficha mahaba yake kwa mwendazake ni huyu bwana anaejiita Crimea nadhan ana kamtt kwa mwendazake
 
Akikujibu kwa ufasaha hapa,nitag . Swali la msingi sana. Hili ndilo ilitakiwa liwe la kwanza ajiulize na apate majibu kabla ya kuja hapa jukwaani. Mwisho wa siku wachina sio watu kabisa kwenye hizi nchi za Africa. Tusije tugeukana baadae baada ya kujua hamna tunachonufaika zaidi ya sifa tu kwamba tuna bandari kubwa
 
Unatumia nguvu sana kumwelewesha huyo punguani,bado mahaba yake yapo kwa mwendazake haamini kilichotokea march 17
 
Lowasa wakati wa kampeni kupitia UKAWA alisema akishinda urais, mkataba wa hiyo badandari atauvunja na Yeriko alishangilia kauli hiyo ya Lowasa
Uongo huo mkatabata gani angwvunja wakati hadi leo hakuna mkataba uliosainiwa badala yake ni mapendekezo tu ndio yalisitishwa na Dikteta Magufuli?
 
Uongo huo mkatabata gani angwvunja wakati hadi leo hakuna mkataba uliosainiwa badala yake ni mapendekezo tu ndio yalisitishwa na Dikteta Magufuli?
Kwahiyo wewe na Lowasa aliekuwa waziri mkuu nani muongo?

Unaweza kutuwekea hayo mapendekezo hapo?
 
Kama umesoma na kuelewa nilichoeleza katika pongezi hizi kwa dikteta Magufuli na hiki nilichoandika leo utaona wazi leo sipingi mradi wa umeme bali nimependekeza kuwa bandari ingeanza kisha umeme na SGR vifuate
 
Kwahiyo wewe na Lowasa aliekuwa waziri mkuu nani muongo?

Unaweza kutuwekea hayo mapendekezo hapo?
Hakuna mahali Lowasa alipowahi kusema atavunja mkataba wa Bandari ya Bagamoyo.

Asingevunja kitu kisichokuwepo. Hadi Dikteta Magufuli anaingia madarakani kulikuwa hakujaingiwa mkataba bali kulikuwa na majadiliano ya mkataba. Kilichokuwepo ni majadiliano na sio mkataba
 
Uzi wake uko hapa!

Inawezekana wakati anaongea hayo wewe ulikuwa unatumbua hela alizokuja nazo kuinunua UKAWA hivyo usingeweza kusikia.

Tuaachane na hayo! Je, unaweza kutuwekea hayo makubaliano hapa ili tuone uongo wa huyo dikteta wako?
 
Kwa hiyo wewe sababu ya kuunga mkono mradi huu ni kumkomoa magufuli? Haya ni maajabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…